Dah...hili ni bonge la eksipiriensi! baada ya kutoka kazini nikapitilizia kwa shehe kuuliza taratibu za talaka kiislamu...nikaejlekezwa, mtoto wa kiume nikamface mama mkwe (maana baba mkwe, wife sikuwakuta)...nikampa makavu (kauli ya talaka kwa maneno na kwa barua, ingawa aliikataa barua, but amewafikishia ujumbe) then kila ndugu akapewa taarifa kwa simu, na shehe akapewa buku 2 ya soda.
Nimeirudia dini yangu ya ukristo...nilimmiss sana yesu mnazareti! I feel very released and ready to mingle the nightlife again wouuh!!...
Kimbembe sasa; wife kakimbilia kwa bamdogo, na bamdogo ananiita kesho huko...na mm kwa hatua hii sisuruhushiki tena, niende au nisiende?
kama unajua comment yaki ni "kwann uliwahi kioa?" "shule zimefunguliwa?" "hawa watoto wa siku hizi!"...ndugu, usijaze server maana nitakupuuza tu.
karibuni.