Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
Wadau wote wa MMU asalam aleikum... bwana Yesu asifiwe... Amang'ana ghenyu...habari zenyu...mwangaluka kinehe lolo...wagambaki waitu...mpola zani...habari zenyu bwanshee...saita...ndaga fijo naloli na fuso...
Napenda kutumia fursa hii kuelezea furaha yangu kwamba baada ya kimya cha muda mrefu sasa nimerudi tena Jukwaani katika mtaa huu maarufu sana hapa bongo.. wa JF.
Nimewakumbuka sana wadau wote tuliokuwa tukishirikiana hapa jukwaani katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo yetu binafsi.
Nimetumwa salamu kwa wote lakini naomba hawa wachache wawakilishe wengi;
Filipo Asprin (michepuko sio dili mzee mwenzangu) charminglady Mtambuzi(baba ngina dawa ya deni ni kulipa) WiseLady miss strong (nakuwowa mke wa pili hivi karibuni) Excel (tata mbuyaole) Baba V (heshima yako mwenye kigoda au mapinduziiii yamekupitia?) Arushaone (shee..mswati upo?) KOKUTONA (ije nkubwile) Dark City (heshima yako babu yao) Madame B (miss you mbaya binamu)@mamndenyi (nakuweka kiporo) watu8 mwekundu (tatu ndio habari ya mujini) mayenga Ben Mugashe ladyfurahia platozoom gfsonwin cacico Cantalisia Kaizer Bujibuji (...) Elizabeth Dominic Nivea King'asti (mtoto wa mzee mtambuzi nasikia umepata mchumba mkurya) Dena Amsi Sabayi marejesho (shemejiiiiii) PakaJimmy LiverpoolFC Evelyn Salt (...)
Karibuni woooote muonje DAY SPECIAL YA LEO - "KICHURI":grouphug::grouphug::grouphug::welcome::welcome::welcome:
Napenda kutumia fursa hii kuelezea furaha yangu kwamba baada ya kimya cha muda mrefu sasa nimerudi tena Jukwaani katika mtaa huu maarufu sana hapa bongo.. wa JF.
Nimewakumbuka sana wadau wote tuliokuwa tukishirikiana hapa jukwaani katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo yetu binafsi.
Nimetumwa salamu kwa wote lakini naomba hawa wachache wawakilishe wengi;
Filipo Asprin (michepuko sio dili mzee mwenzangu) charminglady Mtambuzi(baba ngina dawa ya deni ni kulipa) WiseLady miss strong (nakuwowa mke wa pili hivi karibuni) Excel (tata mbuyaole) Baba V (heshima yako mwenye kigoda au mapinduziiii yamekupitia?) Arushaone (shee..mswati upo?) KOKUTONA (ije nkubwile) Dark City (heshima yako babu yao) Madame B (miss you mbaya binamu)@mamndenyi (nakuweka kiporo) watu8 mwekundu (tatu ndio habari ya mujini) mayenga Ben Mugashe ladyfurahia platozoom gfsonwin cacico Cantalisia Kaizer Bujibuji (...) Elizabeth Dominic Nivea King'asti (mtoto wa mzee mtambuzi nasikia umepata mchumba mkurya) Dena Amsi Sabayi marejesho (shemejiiiiii) PakaJimmy LiverpoolFC Evelyn Salt (...)
Karibuni woooote muonje DAY SPECIAL YA LEO - "KICHURI":grouphug::grouphug::grouphug::welcome::welcome::welcome:
Last edited by a moderator: