Hatimaye nimenunua DStv, kama sio DStv potezea

Hatimaye nimenunua DStv, kama sio DStv potezea

Ray model

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2018
Posts
207
Reaction score
185
Jana nilileta uzi humu kuhusu ninunue king'amuzi gani kati startimes dish au dstv

Mawazo ya watu wengi au niseme wote wakanishauri nichukue dstv

Hatimaye kweli nimechukua dstv miee
Maana azam walinizngua sana hadi imebid niachane kutumia azam now nipo dstv
Kwa sh 79000 ndo bei nilouziwa na mwezi mmoja bure

Dstv wapo vizuri sana
picha zipo clear sana hasa ukiwa na flat screen kubwa

Thanks jf members kwa ushauri wenu murua
Nawapenda sana
 
Jana nilileta uzi humu kuhusu ninunue king'amuzi gani kati startimes dish au dstv

Mawazo ya watu wengi au niseme wote wakanishauri nichukue dstv

Hatimaye kweli nimechukua dstv miee

Kwa sh 79000 ndo bei nilouziwa na mwezi mmoja bure

Dstv wapo vizuri sana
picha zipo clear sana hasa ukiwa na flat screen kubwa

Thanks jf members kwa ushauri wenu murua
Nawapenda sana
Enjoy maisha Mheshimiwa. Sorry, avatar yako ni bora uibadilishe dude. Itakuletea taswira hasi.
 
Karibu sana kwenye ulimwengu wa dstv. Mi mwendo wa burudani mwanzo mwisho.
 
Back
Top Bottom