Ray model
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 207
- 185
Jana nilileta uzi humu kuhusu ninunue king'amuzi gani kati startimes dish au dstv
Mawazo ya watu wengi au niseme wote wakanishauri nichukue dstv
Hatimaye kweli nimechukua dstv miee
Maana azam walinizngua sana hadi imebid niachane kutumia azam now nipo dstv
Kwa sh 79000 ndo bei nilouziwa na mwezi mmoja bure
Dstv wapo vizuri sana
picha zipo clear sana hasa ukiwa na flat screen kubwa
Thanks jf members kwa ushauri wenu murua
Nawapenda sana

Mawazo ya watu wengi au niseme wote wakanishauri nichukue dstv
Hatimaye kweli nimechukua dstv miee
Maana azam walinizngua sana hadi imebid niachane kutumia azam now nipo dstv
Kwa sh 79000 ndo bei nilouziwa na mwezi mmoja bure
Dstv wapo vizuri sana
picha zipo clear sana hasa ukiwa na flat screen kubwa
Thanks jf members kwa ushauri wenu murua
Nawapenda sana

