Hatimaye nimefanikisha

Logic (mantiki)
 
na hapo ndio nilikosea
kwa dunia ya sasa ipuka sana kuuza au kununua kitu chochote chenye thamani pasipo ushahidi au mkataba unaotambulika kisheria bila kukosa mashahidi unaowaamini,binafsi kwa dunia ya sasa ilivyo digital biashara kama ya gari above 10mil. Lazima ntachukua na kaclip kaushahidi at the time tunacornfim makabidhiano
 
Kwa nn haukufa kabisa endelea kutaabika umaskini ukutawale zaidi ya matonya
 
Pole pia mkuu.wengi hudhani ni stori za kufikirika
 
Mkuu tunajifunza kwa makosa
 
Ni kweli aisee
 
Pole sana najua ilitokea bahati mbaya hukufkiria kama itakua ivyo ilo nifunzo kwn siku yapili hutopigwa kizembe usiwaze piga moyo konde
 
Jamaa aliyekuuzia gari alitokea wapi hapo kwenye ajali??...stori yako yakufikirika zaidi........
 
Lakini uliwezaje kununua gari kwa milioni 12 alafu msiandikiane? Hapo shule yako imekusaidiaje? Je ungekamatwa ukaambiwa kuwa hiyo gari imeibiwa kwa mtu ungesemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…