Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,788
- 11,146
Ye kaleta chai!!😂😂Tulikubaliana kikao cha Mwiso,Usiku ni Kahawa sasa mbona hivi jamani.
Ye kaleta chai!!😂😂Tulikubaliana kikao cha Mwiso,Usiku ni Kahawa sasa mbona hivi jamani.
Bando lako la 24 hrs linakaribia ku expire au?😆😆Lete lete
Duh aliyeelewa hii yuko vizuri maana chai si chai ,chapati inageuzwa huku Mara huku😂😂😂2019 tulikorofishana na mke wangu akawa ameenda kwao nikamfata akagoma
Tukatuma ndg mpk wazee akakataa hataki ndoa hii tena(wife ana gubu na me ni mkurya mkorofi so ilitupa shida sana kwenye ndoa) hapo tulikuwa na 3yrs na mtoto mmoja
2019 tulikorofishana na mke wangu akawa ameenda kwao nikamfata akagoma
Tukatuma ndg mpk wazee akakataa hataki ndoa hii tena(wife ana gubu na me ni mkurya mkorofi so ilitupa shida sana kwenye ndoa) hapo tulikuwa na
.2019 tulikorofishana na mke wangu akawa ameenda kwao nikamfata akagoma
Tukatuma ndg mpk wazee akakataa hataki ndoa hii tena(wife ana gubu na me ni mkurya mkorofi so ilitupa shida sana kwenye ndoa) hapo tulikuwa na 3yrs na mtoto mmoja
Unanunua script kwa Erick nini?maana naona kama umechelewa sana kuleta muendelezo...kuna wadau huko juu washaanza kudai itapoa.....wanataka ya moto moto
Lete muendelezoNilijua tu kuna mtu ataunganisha dot na atajua![]()
Lete muendelezo
Hapa ndipo tulipopigwa.Ikafanywa sherehe nikalipa fain zilizotakiwa nikatambuliwa rasm kama mkwe
Kuanzia hapo responsibility za yule binti zikawa zangu 100%
Aliporud dar sababu ya mimba akakataa kukaa kwangu akaomba nimpangie so nikatafuta apartment nzur nikampangia
Duuh,Sherehe ilifanyika ya Nini sasa ,Demu akaomba kupangiwa wakati Sherehe ilifanyika na washakubaliana kuishi pamoja kama Mke na Mme.Hapa ndipo tulipopigwa.
Maana yake hapo ametuambia alienda kuoa kisha akarudi na mke mjini akampangia apartment na yeye akaenda kuishi kwingine.Duuh,Sherehe ilifanyika ya Nini sasa ,Demu akaomba kupangiwa wakati Sherehe ilifanyika na washakubaliana kuishi pamoja kama Mke na Mme.