Probably umeona ni bora kumpoteza huyo mpenzi wako kuliko kuacha kuchepuka, Pitty.
MamboOa michepuko tu
PoaMambo
Doh! Kazi kwelikweliNilishawahi kufanya hivyo,wife alikua na tabia hiyo,mkikosana kidogo tu anasepa,mara ya mwisho alisepa nikiwa na safari,nikarudi na mchepuko alipokuja kujua alihaha mno kutaka kurudi,baada ya miezi 4 nikauondoa mchepuko,tangu amerudi hata kusema niende kusalimia nyumbani hakuna tena siku hizi
Siyo simu iliyosababisha kuvunjika kwa ndoa yenu kwani simu ilikuwepo siku zote. Ni hiyo michepuki yako. Hata kama isingekuwa simu lakini akajua kwa njia nyingine kwamba una michepuko ndoa ingevunjika tu.Ni ngumu kuamini lakini imetokea kwangu
Mwanamke wangu ameamua kubeba kila kilicho chake na kuondoka na amesisitiza tusijuane kuanzia Leo na niendelee na maisha yangu ,
Chanzo cha mwanamke wangu kusepa ni simu yangu katika kupekua pekua akakutana meseji toka kwa wanawake wengine kama wawili ambao simply ni michepuko yangu ,
Hivyo Basi baada ya kupekua simu na kuona yote hayo imembidi achukue kila kilicho chake na kujiondokeaee zake
Sababu sio simu, ni weweMkuu kata mti panda mti.
Weka mchepuko 1 ndani tu.
Mabaya anayataka mwenyew, kwan angetulia na mkewe ndoa ingevunjika saa ngapMpaka nimeshtuka,usimuombee mabaya mwenzako