Hatimaye na Mimi yamenikuta

Acha kutetea ujinga umalaya ni hulka.
 
Hela?? Kutokumfikisha??? Usijidanganye bro mshukuru Mungu Tu Kama mkeo katulia
 
Ha ha ha sio wewe. Mpende mkeo, achana na huyo mke wa mtu
 
Hakuna justification ya uzinzi bwana wapo wanaopitia mikasa mikubwa Sana'a kuliko hiyo lakini hawazini!

Kuzini hakuna excuse!
 
Kuchapiwa ni siri ya ndani banaa...!!! Utaimwagaje siri ya ndani kirahisi hivi?
 
pole sana mkuu ila hawa wanadam hawakomolew uez shindana na ulipotokea utachoka mwenyew mzee mikubwa jpge kifuan mara tatu useme mm n kidume ntamove one kwenye hil..
Nb mke haachw kwa kuchepuka sjui wazee walkua wanamansha nn huu msemo
Ni kauli ilioendana na mazingira ya zamani kwa sasa huo ukomavu na malezi yake havipo ukiweza Shukuru muumba
 
Kabla hujamuacha mfanyie bonge la drama, kwanza rafuta mtu, mchepuko, lala huko chat nao full time uone anaumia ama?

Lakini vyovyote iwavyo huyo mwanamke achana nae maana hawezi acha huo mchezo hata akikuomba msamaha.

Hata hivyo mmeishi miaka mingi, miaka mitano yote wakati kuna wengine hawajaolewa kabisa? Mwache tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…