Hatimaye Mbunge wa Kyela asikika akizungumza bungeni

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,425
Mbunge wa Jimbo la Kyela, ndugu Mlaghila, aliyefahamika kama mbunge bubu, hatimaye leo amesikika akisema neno bungeni.

Bali jambo ambalo Mbunge huyo amelisema bungeni halihusiani na Maendeleo ya Kyela, ila amezungumzia foleni zinazosababishwa na misafara ya viongozi

Mungu isaidie Kyela ipate msemaji wa shida zake.
 
Ukishaiacha Ushirika kwenda kyela na maendeleo unayaacha , kyela watu wanakuja border wanajipigia pesa wanaondoka barabara mbovu, yaani kwaufupi afadhali hata mwakyembe alikua anaisemea kyela huyu wa sasa hana hoja kabisa, na bungeni mkishakosa mpiga kelele, au muwe na waziri ambae atakutana na makatibu wakuu wa wizara na mawaziri wenzake kirahisi maendeleo muyasahau,
 
Mbunge wa Jimbo la Kyela , ndugu Mlaghila , aliyefahamika kama mbunge bubu , hatimaye leo amesikika akisema neno bungeni .

Bali jambo ambalo Mbunge huyo amelisema bungeni halihusiani na Maendeleo ya Kyela , ila amezungumzia foleni zinazosababishwa ma misafara ya viongozi

Mungu isaidie Kyela ipate msemaji wa Shida zake
Kwenye huu usumbu wa foleni yupo sahihi sn
 
Einstein unaambiwa miaka yote alokaa bungeni alisema sentensi moja tu “naomba ufunge dirisha” 😂😂😂
Mbunge wetu kajitahidi
 
Mbunge wa Jimbo la Kyela, ndugu Mlaghila, aliyefahamika kama mbunge bubu, hatimaye leo amesikika akisema neno bungeni.

Bali jambo ambalo Mbunge huyo amelisema bungeni halihusiani na Maendeleo ya Kyela, ila amezungumzia foleni zinazosababishwa na misafara ya viongozi

Mungu isaidie Kyela ipate msemaji wa shida zake.
Bahati nzuri unazungumzia haya mtandaoni lakini ukienda Kyela kwenye Site
Mbunge wa Jimbo la Kyela, ndugu Mlaghila, aliyefahamika kama mbunge bubu, hatimaye leo amesikika akisema neno bungeni.

Bali jambo ambalo Mbunge huyo amelisema bungeni halihusiani na Maendeleo ya Kyela, ila amezungumzia foleni zinazosababishwa na misafara ya viongozi

Mungu isaidie Kyela ipate msemaji wa shida zake.
Erythrocyte utakuwa una matege kwenye masikio yako. Mbunge wa Kyela jana katika mchango wake pamoja na kwamba alitakiwa kushauri serikali juu mambo ya jumla ya Budget ya Taifa na sio ya kijimbo lakini bado amegusia Mambo mawili muhimu:
1. Ujezi wa mradi wa Umwagiliaji na Songwe River basin Programm
2. Usafirishaji wa Makaa ya Mawe kupitia Itungi Port kupitia Manda na kuunganisha kwenye barabara ya Manda, Ludewa mpaka Njombe

Je, hayo sio Mambo ya Kyela?
Ina wezekana una jambo lako lakini sisi tuko na Mbunge wetu, wewe endelea kulalama mitandaoni yaliyoko Kyela kwa muda mfupi ni makubwa mno.
 
Nilifurahi San alivyo mdondosha mwakiyembe kwa kura Mia 500

Alfu jama Yuko smart tu kuongea aliuliza swala zuri sna kwa naibu wazir wa madini ndugu yanngu dk kiruzwa
 
Mbunge wa Jimbo la Kyela, ndugu Mlaghila, aliyefahamika kama mbunge bubu, hatimaye leo amesikika akisema neno bungeni.

Bali jambo ambalo Mbunge huyo amelisema bungeni halihusiani na Maendeleo ya Kyela, ila amezungumzia foleni zinazosababishwa na misafara ya viongozi

Mungu isaidie Kyela ipate msemaji wa shida zake.
Ninamashaka na uwezo wa kufikilia wa erythrocyte!!. Kinachotakiwa sio kubwata bwata bungeni. Kinacho hitajiaka ni kufanya kzai za wananchi. Wananchi wanahitaji Maji safi elimu bora miundombinu imara na vingine vingi. Ukiwa mbunge. Pamoja na kufikisha matatizo ya wananchi katika serikali kuu, pia wahitajika kuwa na mbinu mbadara wa kutatua matatizo ya wananchi. Onamambo yanayo endelea Kyela ndiyo uje Kupambana mitandaoni. Pia huwa huangalii TV wala mitandaoni kwani ungeona video nyingi akiwa bungeni akizungumza. Kama wataka ubunge subiri muda unakuja uje kyela na kugombea.
 
Ninamashaka na uwezo wa kufikilia wa erythrocyte!!. Kinachotakiwa sio kubwata bwata bungeni. Kinacho hitajiaka ni kufanya kzai za wananchi. Wananchi wanahitaji Maji safi elimu bora miundombinu imara na vingine vingi. Ukiwa mbunge. Pamoja na kufikisha matatizo ya wananchi katika serikali kuu, pia wahitajika kuwa na mbinu mbadara wa kutatua matatizo ya wananchi. Onamambo yanayo endelea Kyela ndiyo uje Kupambana mitandaoni. Pia huwa huangalii TV wala mitandaoni kwani ungeona video nyingi akiwa bungeni akizungumza. Kama wataka ubunge subiri muda unakuja uje kyela na kugombea.
Unaweza kutuwekea hapa mambo yaliyofanyika Kyela baada ya Ally kuwa Mbunge ?
 
Back
Top Bottom