Hatimaye Lowassa amtembelea Sumaye Muhimbili

Hatimaye Lowassa amtembelea Sumaye Muhimbili

vipi kingunge, mbona hujaenda kumjulia hali sumaye nawe uko hapo hapo? au uko kwenu lindi unapumzika baada uchovu wa uchaguzi na kipigo toka chama ulichokijenga kwa miaka zaidi ya 60? tujuze mzee?
Babu Kingunge yupo kijijini anashughulika na tiba asili Sumaye apone...si unakumbuka aliingia Bunge la katiba kama nani?
 
Duh! Lowassa alihamia Geita wiki mzima akidai maiti ya Mawazo mahakani na msemaji wake mkuu Sumaye.

Hapo namuona James Mbatiya lakiniakina Professor Baregu wako wapi? Mtu ukifa unakuwa na thamani kubwa CHADEMA lakini kuumwa tu hakutoshi.
Lowassa ni msanii kama ilivyo fani yake!

Prof. Baregu ameenda kumtembelea.
 
LOWASSA NI MNAFIKI ALIKUA WAPI SIKU ZOTE MPKA CCM WAMEENDA NAE NDO ANAJIFANYA KAENDA....KWA HALI HII SUMAYE HAWEZI PEWA UKATIBU MKUU CDM.
KWELI TUPENDANE JAPO KINAFKI LILE BIFU LA KARNE KATI YA SUMAYE NA LOWASSA HALIJAWAHI KWISHA NA HUU NDO USHAHIDI.
Sumaye hawezi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA!
 
LOWASSA NI MNAFIKI ALIKUA WAPI SIKU ZOTE MPKA CCM WAMEENDA NAE NDO ANAJIFANYA KAENDA....KWA HALI HII SUMAYE HAWEZI PEWA UKATIBU MKUU CDM.
KWELI TUPENDANE JAPO KINAFKI LILE BIFU LA KARNE KATI YA SUMAYE NA LOWASSA HALIJAWAHI KWISHA NA HUU NDO USHAHIDI.
Hilo jina la taasisi aliyolazwa lilimfanya Lowasa awaze Mara mia!
Yaani heading: Lowasa ndani ya Taasisi ya Jakaya Kikwete!
 
Back
Top Bottom