Kweli mkuu ambao jasho linanyonywa kila siku na tabaka tawala huku wakipewa elimu duni tiba duni na kutukanwa katika nchi yao ndo mana watajikomboa kutoka ktk adha hizi oktoba 25
Robert Kisena aliyekuwa mgombea wa ccm kule Maswa mwaka 2010 alimtwanga ngumi OCD mpaka akadondoka chini na kofia kumvuka lakini hakuchukuliwa hatua yoyote ile.
Hatimaye Lawrence Masha amechiwa kutoka mahabusu baada ya jana kuwa amekosa dhamana pale mahakama ya Kisutu, hali iliyopelekea yeye na wenzake kurudishwa rumande.
Lakini mchana huu (wa tarehe 26-08-2015) hatimaye ameweza kutolewa nje kwa dhamana na kusubiria mashtaka yake.
Kweli mkuu ambao jasho linanyonywa kila siku na tabaka tawala huku wakipewa elimu duni tiba duni na kutukanwa katika nchi yao ndo mana watajikomboa kutoka ktk adha hizi oktoba 25
Elimu duni ipi,waliosoma vijijini kwenye mazingira magumu na shule za kayumba wengi ndio watu wenye vipaji na uelewa mkubwa.pia shule hizo zimejenga ukakamavu mf.kulima na kutunza bustani,kufika mapema na kufanya usafi,na mengine mengi.leo hii mtu hâta kwake hapati tabu ya mambo madogo madogo,sio ukikosa binti na kijana wa kazi mji unageuka kichaka.
Nitasifia daima shule hizi,zimetoa watu mashuhuri.
Robert Kisena aliyekuwa mgombea wa ccm kule Maswa mwaka 2010 alimtwanga ngumi OCD mpaka akadondoka chini na kofia kumvuka lakini hakuchukuliwa hatua yoyote ile.