Hatimaye kipindi cha theluji kimeisha Ukraine, ndio kete aliyokuwa amebaki nayo Mrusi



Nyie wa ukraine weusi hebu tafteni sababu ingine basi jimbo lishazungukwa
 
MK254 hivi unadhani ni wewe pekeako tu ndio unafuatilia hiyo vita?acha kudanganya umma Ukraine anapigika huko

Mnachekesha mjue, kaa ukijua kwa ambavyo tulidhani Urusi ni supapawa tegemezi la waarabu, ataifumua Ukraine kwa wiki moja, leo ameishiwa anagombania kamji ka chumvi......
 
S
Sasa ndio kumekucha 🤣🤣🤣
 
Nimesubiri sana nione Urusi niliyokua nadhani ndio..... Hii hii imesababisha wanajeshi wake wajitoe mhanga kuteka haka kamji

Achana na Photoshop hata will Smith anatengeneza muvi za vampires 🤣🤣🤣
 
Achana na Photoshop hata will Smith anatengeneza muvi za vampires 🤣🤣🤣

Bora hata za photoshop maana uhalsia pale ni pabaya sana, mizoga ya Warusi na wageni akiwemo Mtanzania inatia aibu.
Familia na ndugu za yule Mtanzania aliyeuawa pale wanajua sio photoshop.
 
Bora hata za photoshop maana uhalsia pale ni pabaya sana, mizoga ya Warusi na wageni akiwemo Mtanzania inatia aibu.
Familia na ndugu za yule Mtanzania aliyeuawa pale wanajua sio photoshop.
Wagner wamewashika pabaya huna habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…