Hatimaye John Stanley,Aibuka Kidedea Urais wa Tahliso

Hatimaye John Stanley,Aibuka Kidedea Urais wa Tahliso

Ubora

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2015
Posts
664
Reaction score
255
Hatimaye John Stanley ambaye ni mwanafunzi wa Masomo ya Uongozi, chuo kikuu cha Usafirishaji, Jana ameibuka kidedea kwa kupata ushindi mnono katika uchaguzi wa shirikisho hilo uliofanyikia Chuo Cha Saut Mwanza. Zaidi ya Vyuo hamsini vilishiriki katika uchaguzi huo ulishirikisha vyuo vyote vikuu vya bara na Visiwani.
 
Hatimaye John Stanley ambaye ni mwanafunzi wa Masomo ya Uongozi, chuo kikuu cha Usafirishaji, Jana ameibuka kidedea kwa kupata ushindi mnono katika uchaguzi wa shirikisho hilo uliofanyikia Chuo Cha Saut Mwanza. Zaidi ya Vyuo hamsini vilishiriki katika uchaguzi huo ulishirikisha vyuo vyote vikuu vya bara na Visiwani.

Harakati zako tunazipata, utaleta mabadiliko makubwa kwa shirikisho.
 
uchaguzi ulikuwa batili ulikiuka katiba na vile vile uchaguz huu ulibakwa na mwenykit wa ccm mwanza pamoja na mbunge,binafsi tahliso ni jumuiya ya ccm
 
uchaguzi ulikuwa batili ulikiuka katiba na vile vile uchaguz huu ulibakwa na mwenykit wa ccm mwanza pamoja na mbunge,binafsi tahliso ni jumuiya ya ccm
 
Shirikisho limekuwa chup tu siku izi.. Tutatafuta njia mbadala kuanzisha la ueled nje ya mfumo
 
Back
Top Bottom