Hatimaye "Chemical Ali" anyongwa iraq

Hatimaye "Chemical Ali" anyongwa iraq

Hofstede

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2007
Posts
3,577
Reaction score
1,117
Baada ya kuhukumiwa kifo mara nne kwa kile kinachosemekana ni uhalifu dhidi ya binadamu hatimaye Shia wa Iraq walipiza kisasi rasmi kwa kumuua kwa kumyonga kwa kutumia kitanzi kumning'iniza. Hii inaashiria kuwa Iraq kupata maridhiano itachukua muda kwani inajukana kuwa ni nchi ya visasi.

'Chemical Ali' executed in Iraq


Ali Hassan al-Majid, a former Iraqi official known as Chemical Ali, has been executed by hanging, a government spokesman has announced.

_45259775_-8.jpg


_47126652_001063542-1.jpg

Majid, an enforcer in Saddam Hussein's regime and his cousin, had earlier been sentenced to death four times for genocide and crimes against humanity.
In January, he was sentenced to death for ordering the gas attack on the Kurdish town of Halabja in 1988.
It is believed that about 5,000 people died in the attack.
Iraqi jets swooped over Halabja and for five hours sprayed it with a lethal cocktail of mustard gas and the nerve agents Tabun, Sarin and VX.
Majid was a cousin of Saddam Hussein, and earned his nickname after his use of poison gas.
News of the hanging came shortly after three suicide car bombs struck in downtown Baghdad. It was not immediately clear whether the attacks were linked the execution of Majid.
Majid was sentenced to hang in June 2007 for his role in a military campaign against ethnic Kurds, codenamed Anfal, that lasted from February to August of 1988.
In December 2008 he also received a death sentence for his role in crushing a Shia revolt after the 1991 Gulf War.
In March 2009 he was sentenced to death, along with others, for the 1999 killings of Shia Muslims in the Sadr City district of Baghdad.
The Iraqi High Tribunal was set up to try former members of Saddam Hussein's mainly Sunni government and was the same one that sentenced the former president to death.

source: http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/middle_east/8479115.stm
 
ndivyo waarabu walivyo wao ni kulipiza kisasi tu katika Nchi za kiarabu hakuna kitu kinachoitwa (Democratic)Sahau Mkuu Maxshimba Waarabu ni washenzi tu hawana haki za Kibinadamu.
 
ndivyo waarabu walivyo wao ni kulipiza kisasi tu katika Nchi za kiarabu hakuna kitu kinachoitwa (Democratic)Sahau Mkuu Maxshimba Waarabu ni washenzi tu hawana haki za Kibinadamu.

Inawezekana kwao hiyo ndio haki, mkuu. Kwasababu huyu bwana alifanya maasi mabaya sana kwa wakuds. Ingawa kama ulivyo sema, demokrasia kwao ni sawa na mimi mdengereko kusema Kigiriki.

Wangemsweka tu maisha, labda angekuwa msaada wa baadae, you never know.
 
Inawezekana kwao hiyo ndio haki, mkuu. Kwasababu huyu bwana alifanya maasi mabaya sana kwa wakuds. Ingawa kama ulivyo sema, demokrasia kwao ni sawa na mimi mdengereko kusema Kigiriki.

Wangemsweka tu maisha, labda angekuwa msaada wa baadae, you never know.

Wanaogopa asije toroka akaunda kikosi cha kisasi. Kinachowafanya wawauwe ni woga wa kubadilishiwa kibano
 
There is a famous saying that fits very well with some of these people....."Those who live by the sword will die by the sword.
 
Wanaogopa asije toroka akaunda kikosi cha kisasi. Kinachowafanya wawauwe ni woga wa kubadilishiwa kibano

Nimekuelewa mkuu. Paranoia ndio kubwa kule, ni kama mtu unapoona nyoka, ni either umpige kichwa au akuwahi yeye.
 
Baada ya kuhukumiwa kifo mara nne kwa kile kinachosemekana ni uhalifu dhidi ya binadamu hatimaye Shia wa Iraq walipiza kisasi rasmi kwa kumuua kwa kumyonga kwa kutumia kitanzi kumning'iniza. Hii inaashiria kuwa Iraq kupata maridhiano itachukua muda kwani inajukana kuwa ni nchi ya visasi.

Wewe kwa nini unasema kuwa ni ulipizaji visasi na kwa nini judicial system ya Iraq unaiita washia? kilichofanyika ni kutimiza sheria suala la ushia halipo,kama majaji wengi ni washia au wanyongaji si juu yako siwamesoma!!! Wacha sheria ichukue mkondo wake. Mbona Rwanda wamefungwa hatukuita ulipizaji kisasai? hacha udini fuata haki. wewe huoni picha ya waliouliwa kwa sumu unataka wanyamaze tu?
 
Baada ya kuhukumiwa kifo mara nne kwa kile kinachosemekana ni uhalifu dhidi ya binadamu hatimaye Shia wa Iraq walipiza kisasi rasmi kwa kumuua kwa kumyonga kwa kutumia kitanzi kumning'iniza. Hii inaashiria kuwa Iraq kupata maridhiano itachukua muda kwani inajukana kuwa ni nchi ya visasi.

Definitely MAFISADI walistahili kama hivi TZ na kutaifishwa mali zao zote.
 
Back
Top Bottom