Hatimaye CHADEMA watua Songea

policcm wasikamate gari la matangazo kama walivyofanya Mbulu,jamaa tumewabana kila kona
 


asante mkuu kwa taarifa nzuri. Kweli haya maccm tunayapelekesha. Pia na sisi kwenye makazi yetu tuimarishe m4c
 
Niko Songea Mjini Eneo la Lizaboni Gari limepita muda sio mrefu. Kata ya Lizaboni inaongozwa na Kamanda wa CDM Mh. Allanus Mwanja Murongo. Kazi inaenda vema Magamba tumbo Joto.
 

habari njema piga mkutano matarawe,lizaboni,mateka,matogoro,majengo,luhuwiko,bombambili itakuwa imetulia sana tunajua mbinu anazotumiaga nchimbi hata rafu alizo mchezea mzee mwaiki kwa kushirikia na jk.muda umefika wakukaya kufunguka
 
Niko Songea Mjini Eneo la Lizaboni Gari limepita muda sio mrefu. Kata ya Lizaboni inaongozwa na Kamanda wa CDM Mh. Allanus Mwanja Murongo. Kazi inaenda vema Magamba tumbo Joto.

asante kwa taarifa mkuu nakumbuka kijiwe cha mzee macha hapo lizaboni.ugendili gendili cdm kiboko
 
Wakuu nipo songea,makamanda wapo hapa,kesho tukijaliwa kuamka nitawaletea updates kutoka Matarawe songea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…