Nawakaribisha makamanda songea, ingawa niko safarini, wapeni wana ruvuma elimu ya uraia, maana maccm wametunyonya vya kutosha sana, ruvuma ndiko wabunge wa ccm wanakwenda kuchukua ubunge na si kugombea, wao hurubuni wananchi kwa kutumia rushwa, kama kanga, fedha, wali, nk. Wabunge wengi kama nchimbi, komba, kayombo, vita kawawa, kazi yao ni kuwarubuni tu wananchi! Chadema ikiwezekana waende mpaka mbinga, namtumbo wakawape elimu ya uraia wananchi! Ccm ni janga kwa taifa letu!