Twilumba
Platinum Member
- Dec 5, 2010
- 13,478
- 16,189
Vijana wa masaburi hawa, kuandika shida, kusoma ni giza loh!Mimi watu waliofungua id zao kwa ajili ya uchaguzi nawaita team kukurupuka!
Vijana wa masaburi hawa, kuandika shida, kusoma ni giza loh!Mimi watu waliofungua id zao kwa ajili ya uchaguzi nawaita team kukurupuka!
Sibadiliki sifati chama kinachotubuluza nafuata kiongozi bora atakae fanya kazi nzuri asie jisifu kwa lolote anae kula ugali wa kawaida kama mimi na sifa zake zinajulikana kuanzia zamani na sio muigizaji eti ndio aligundua kupanda dala dala na kula kwa mama ntilie leo, siku zote alikua aoni dala dala???? Mama ntilie walikua hawapo zamani?  watanzania mnachezewa na wasanii watu wapo kimaslahiii msiwe kama nyumbu wa ngoro ngoroo hapa ni kazi tu.
Hivi wewe unatambua kwamba humu duniani kuna majukumu ya kila mtu na kwa wakati wake? Unajua kwamba dawa nzuri hupimwa kwa udogo wa dozi tena mara moja tu kwa siku na siyo kwa unene wa kidonge kutwa mara tatu? Umepotea rafiki