Hatimaye bodaboda wagoma kuburuzwa

Hatimaye bodaboda wagoma kuburuzwa

Kichwa cha habari na ulichokiandika hakuna uhusiano hata kidogo. Nimepata mashaka ya upeo wako

Duh, japo mi ccm, ila mwana kaunguza picha!!! Kichwa cha Scania, nyuma mabehewa ya treni aaaaaaahaha...
 
Sibadiliki sifati chama kinachotubuluza nafuata kiongozi bora atakae fanya kazi nzuri asie jisifu kwa lolote anae kula ugali wa kawaida kama mimi na sifa zake zinajulikana kuanzia zamani na sio muigizaji eti ndio aligundua kupanda dala dala na kula kwa mama ntilie leo, siku zote alikua aoni dala dala???? Mama ntilie walikua hawapo zamani? 😄😂😂 watanzania mnachezewa na wasanii watu wapo kimaslahiii msiwe kama nyumbu wa ngoro ngoroo😂😂😂😂😂 hapa ni kazi tu.

Umejitambua? Hongera, ila fahamu kila uchaguzi lazima uende na kampeni na hizo ndo kampeni zenyewe.
 
sibadiliki sifati chama kinachotubuluza nafuata kiongozi bora atakae fanya kazi nzuri asie jisifu kwa lolote anae kula ugali wa kawaida kama mimi na sifa zake zinajulikana kuanzia zamani na sio muigizaji eti ndio aligundua kupanda dala dala na kula kwa mama ntilie leo, siku zote alikua aoni dala dala???? Mama ntilie walikua hawapo zamani? í-½í¸„í-½í¸‚í-½í¸‚ watanzania mnachezewa na wasanii watu wapo kimaslahiii msiwe kama nyumbu wa ngoro ngorooí-½í¸‚í-½í¸‚í-½í¸‚í-½í¸‚í-½í¸‚ hapa ni kazi tu.

##upumbavu na ujinga ni kusema hapa kaz tu ilihali huna hata kaz inazurula tu mtaani kama chizi##
 
##upumbavu na ujinga ni kusema hapa kaz tu ilihali huna hata kaz inazurula tu mtaani kama chizi##

Msamehe bro, am pure ccm, bűr this guy has stepped to a shit aaaaaaahaha.
 
Kichwa cha habari na ulichokiandika hakuna uhusiano hata kidogo. Nimepata mashaka ya upeo wako

Umsamehe tu hajui atendalo, hajifahamu, kakurupuka, au labda amepagawa na jini mahaba!!!
 
Hapo sasa ndio ile effect ya Dr. Slaa inaendelea kumla Fisadi anaye panda daladala ili kuwarubuni watu.

unacheza drafti mkono wa kushoto na wa kulia.

kama mnadhani ana impact mwambieni huyo dokta slaa wenu akatembelee kariakooo ndio mtajua hiyo impact ni chanya au hasi.
 
Hivi utamwelewaje mtu asiyejielewa kwanza? Hii ndiyo BRN!
JF ya sasa hiv ni tofauti sana na ile ya miaka ya 2008, members walikuwa wanatupia thread zenye akili, kweli hii itakuwa BRN output.
 
Sibadiliki sifati chama kinachotubuluza nafuata kiongozi bora atakae fanya kazi nzuri asie jisifu kwa lolote anae kula ugali wa kawaida kama mimi na sifa zake zinajulikana kuanzia zamani na sio muigizaji eti ndio aligundua kupanda dala dala na kula kwa mama ntilie leo, siku zote alikua aoni dala dala???? Mama ntilie walikua hawapo zamani?  watanzania mnachezewa na wasanii watu wapo kimaslahiii msiwe kama nyumbu wa ngoro ngoroo hapa ni kazi tu.
Wenye vichwa vya samaki huvuliwa miaka nenda rudi kwa nyavu zile zile na ndoano zile zile; lakini wanaojitambua, no!
 
Mimi watu waliofungua id zao kwa ajili ya uchaguzi nawaita team kukurupuka!
 
Huwa natamani watanzania wajue na wawe wafuatiliaji wa yote yanayojiri kwa huyu babu. Mafuriko, wanaoshabikia hawajui wanajipalilia tanuru la.moto
 
Porojo wekeni zakila aina,ila hatufanyi kosa tens,ukawa ndo chaguo la wengi
 
Hueleweki wewe,kiswahili chenyewe hujui andika vizuri, .....,"chamakinacho tubuluza",

Mbona wewe na kiswahili chako hujamwelewa Dr. Heri mwenye kiswahili kibovu aliyebarikiwa karama ya kutafakari
 
makitoro hapo ni kazi ya undorobo....wewe usifuate wenzako wengi wanafuata...huulizi huyo anayeahidi kujenga barabara wakati mwenyewe alikuwa waziri wa barabara alikuwa wapi kabla? huulizi huyo anayeshangaa dawa hamna hospitali wakati alikuwa serikalini , alikuwa wapi? huulizi ahadi za elimu bure anazitoa sasa alikuwa wapi....watanzania tunataka mabadiliko na tutayapata kutoka ukawa

Hivi wewe unatambua kwamba humu duniani kuna majukumu ya kila mtu na kwa wakati wake? Unajua kwamba dawa nzuri hupimwa kwa udogo wa dozi tena mara moja tu kwa siku na siyo kwa unene wa kidonge kutwa mara tatu? Umepotea rafiki
 
Back
Top Bottom