Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,436
- 2,156
La fa mkuu una shida na hilo!?Duh, kabati ya kuwekea vikombe! Je tukiweka vikombe kabatini nyie mtaweka nn kabatin??
Yanga inazidiwa vikombe na simba na simba Yanga unaizidi simba vikombe vya ligi kuu tu simba unazidi Yanga Kagame.tasker.mapinduzi.Kabati la Yanga limejaa Vikombe vya ubingwa ndio maana hiyo limeshindwa kuingia huku Kabati la mikia likiwa limejaa Rufaa za TFF na FIFA.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Tena viti fenyewe vya plastik maskini
MnyakyusaMkuu wewe kabila gani?
Labda vikombe vya ghahawa pale msimbazi.Yanga inazidiwa vikombe na simba na simba Yanga unaizidi simba vikombe vya ligi kuu tu simba unazidi Yanga Kagame.tasker.mapinduzi.
Yanga inazidiwa vikombe na simba na simba Yanga unaizidi simba vikombe vya ligi kuu tu simba unazidi Yanga Kagame.tasker.mapinduzi.
Umeanza kushabikia mpira lini?
Kwa haya hakuna ubishi, ila kama ungekuwa unazungumzia trophy...ukapimwe wazimu.
Mwaka ule Simba walipoweka mpira kwapani half time na kulala mbeleUmeanza kushabikia mpira lini?