Hatimae uhamiaji yametimia


ok shukran mkuu
 

asante sana mkuu
 
je kama wote wamekidhi vigezo njia gan nyingne ya kuwapunguza ili wafikie lengo

Ndio maana nikasema ukikamilisha vigezo vyote utakuwa tayari kupambana. Kumbuka nao wana watu wao. Mwisho wa siku ni wao kuamua. Ila wewe unatakiwa kuwa sawa kote ili usiwape sababu. Kumbuka watu wanahonga kupata hizo fursa.
 
Mungu saidia mana huu usaili haueleweki utakuwaje,mana watu ni wengi na nafasi ni chache
 

ukitaka kujua una uvungu wa mguu mwaga maj katik tope kanyag alaf toa mguu..ukionekan wote huna uvungu na kam ukioneka nusu yaan sehem ya kat kwa ndan isipoonekan inamaan una uvung.. Ukikosa uvungu huwezi kupita ingawa wapo wanaofany udanganyif ila ni hatar sana maana unawez kuoza miguu na utaumia san ktk pared.kam huna uvung ina maana huna qualities zote bro.
Hata ivyo kuusu nguv za kiume ni uume ucheze unapokohoa...pia hakikisha hujawah fanyiw operation yoyote wala kuchor tatoo ..Hapo vip?
 
Vipi kuhusu mtu mwenye makovu kwenye mwili hasa hasa yale makovu makubwa makubwa yanayovimba ka jipu?!

makovu hayatakiw utajisababishia matatiz ...kaka usilete masiala na depo bro..kule waalim wanasain kuw wamepokea watu wazim kiafya na wanakidhi vigez so ukifa mazoezin wao hawausik na hawan hurum.
Kam una makov tafut job ingine kaka nchi inalingwa kwa jesh imara
 

mjomba husipotoshe..uvungu ni muhim tena sana..kule huvai sendo ujue...na ukipitishw kwa kubebw na uvung huna shuhur yake utaiyon hakuna atakaejal kua unaumw miguu maan wanaamin ulipimwa vyote
 
mjomba husipotoshe..uvungu ni muhim tena sana..kule huvai sendo ujue...na ukipitishw kwa kubebw na uvung huna shuhur yake utaiyon hakuna atakaejal kua unaumw miguu maan wanaamin ulipimwa vyote

Kwa taarifa yako wengi ''wanabebwa'' na wanamaliza kozi. Halafu unasema kule hawavai sendo huku hauna uhakika kama nilisha pita au niko huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…