Afya ikiwa njema, mwili usio na ulemavu dhahiri, vyeti viko sawia na halali, hamna ushoga, uwezo wa kujieleza
(kama ni kidato cha nne na kuendelea kujieleza historia yako kwa ufupi kwa maneno na maadishi kwa lugha ya kiingereza), hiyo inatosha kupambana.