Mkuu Kauli Yako Itamtoa Nishai.Mbele yako nyuma yetu
NashukuruHongera mwaya kila la heri
Asante sanaKila la Kheri best
Nimejichanganya 😂Sawa unaolewa.
Ndio uweke jukwaa la celebrities?
Asante mkuuKwa Kuwa Ulipata Muongozo Wa Honeymoon Na Imani Sasa Umekomaa.
Kila La Kheri Mkuu.
Hivi kuna nini kwenye honeymoon?
Hivi honeymoon inakuwaga tofauti na vacation za kawaida ambazo wapendanao wanaendaga? Au haina tofauti zote sawa?www.jamiiforums.com
Mwezi wa saba sio mbaliMwez wa 7 unatangaza Leo???? Ungevuta subra
Asante lakin mimi sikubaliani na hizo maneno ati mwanaume pekee yke ndo ana kauli nyumbaniUna miaka mingapi
Una furaha sio tatizo ila jua kabisa shetani hana tatizo na couple zinazopendana ila tatizo kweny ndoa mkiingia anahamia hapo
Kikubwa uvumilivu mumeo awe kichwa cha familia na mweny kauli ila ukijifaya kama ukoo wa kambale kila mtu ana ndevu hamtodumu
Ungekua wewe usingefurahi kuoana na unampenda? Kuna watu kibao wanaoana na watu wasiowapendaMwez wa saba na umefurahia ivo?kwel mmeamin wanawake ss iv wanazisaka ndoa zaid ya pesaa..iv unajua hata mwez mmoja tu kweny mahusiano unaweza kuvuruga kila kitu hadi kusahau jina lake?
Nimemuokota sehemu sehemu hivi 😁Umemuokota wapi huyo
Kwanini?Hanywi pombe wala havuti sigara halafu mpole.
My dear kuwa muangalifu.
Huu msemo hauko vizuri mpk nimeogopa ku like comment ykoMbele yako nyuma yetu 😎
haya, hongereni kwa mapenzi, hongereni kwa kushirikiana kujipa raha, mnajua kujipa raha.Kuanzia jana nahisi mimi ndo mtu mwenye furaha sana dunia nzima lol! Baada ya kua kwa relationship miaka 2 na miezi 5 sasa tunaoana tarehe 30 mwezi wa 7.
Huyu kaka angekua mswahili ningesema ameniroga maana nimetulia sana kwa hii relationship mpk mwenyewe najishangaa. Japo kumekua na matatizo madogo madogo kati yetu lakini kukiwa na na mapenzi ya Kweli, mtu ukipenda na ukipendwa everything is possible
Kwenye huu uhusiano nimejifunza uvumilivu ktu ambacho nilikua sina ata kidogo. Sijui ndo nimekua sijui ni mapenzi ata sielewi. I'm glad that I met this guy. Ni mpole, hana mambo mengi, sio mtu wa kujichanganya, hanywi pombe na havuti sigara. Sijui nieleze vipi ila nina furaha sana
Ndo usubirie miez saba?Ungekua wewe usingefurahi kuoana na unampenda? Kuna watu kibao wanaoana na watu wasiowapenda