Hatimae mpambano wa CCM na Mh Lowasa umewadia.

Hatimae mpambano wa CCM na Mh Lowasa umewadia.

Lowassa ni Kama kaa la moto ndani ya ccm, kilitema shida kulimeza balaaa ...

Huyu mtu anatakiwa apewe nchi tu awanyooshe kina Nape

Haya maneno ya Nyaronyo mwita kicheere.Huyo fisadi hana la kumnyoosha MTU anatakiwa anyooshwe yeye.
 
Lowassa ni Kama kaa la moto ndani ya ccm, kilitema shida kulimeza balaaa ...

Huyu mtu anatakiwa apewe nchi tu awanyooshe kina Nape


Ha ha ha ha kwahiyo unataka aende ikulu kwa lengo la kumnyoosha nape tu siyo?
 
Hamna kitu kama hicho, ofcoz wazalendo tunaback up chama hata sie ambao uko Ukawa, mwanachama hawezi kuota pembe akawa zaidi ya chama hata ZZK alikwenda hivyo na mwishowe alipewa stahiki yake

Kauli ya kishujaa hii mkuu

Asante
 
Back
Top Bottom