chura mweusi
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 394
- 89
Duuuh ikulu kuna nin?
Hii habari ina uhusiano gani na MMU?
Lowassa ni Kama kaa la moto ndani ya ccm, kilitema shida kulimeza balaaa ...
Huyu mtu anatakiwa apewe nchi tu awanyooshe kina Nape
Lowassa ni Kama kaa la moto ndani ya ccm, kilitema shida kulimeza balaaa ...
Huyu mtu anatakiwa apewe nchi tu awanyooshe kina Nape
Lowassa ni Kama kaa la moto ndani ya ccm, kilitema shida kulimeza balaaa ...
Huyu mtu anatakiwa apewe nchi tu awanyooshe kina Nape
Hamna kitu kama hicho, ofcoz wazalendo tunaback up chama hata sie ambao uko Ukawa, mwanachama hawezi kuota pembe akawa zaidi ya chama hata ZZK alikwenda hivyo na mwishowe alipewa stahiki yake