Hatimae Google Adsense wamenilipa USD 137.6 leo

hapo lazima uwe na bog mbili..moja unapostia wew na nyingine iwe na post za kiingereza kama 40 iv na hyo blog iwe na miez 2 na kuendelea pia weka privay policy ya blog vilevile weka default tamplate za blogger after hapo unaaply itachukua masaa 12 kujibiwa na google kama kuna tatizo a kwa maelezo zaidi 0755801248
 
Habari wakuu mimi pia ni publisher zaidi ya miezi 7..kuna tatizo nmepata yani adsense zangu zinapotea baada ya dak 5 nikishare facebook tatizo ni niini???
shida ni tamplate kaka unatakiwa upate tamplate ambayo ni ads ready
 
https://www.tsu.co/kasaz

Pia hawa jamaa wanalipa bila longolongo, wao nikama Facebook tofauti nimalipo kutokana matangazo kwenye ukurasa wako ambayo yanategemea network na followers
 
So ukiwa busy utatengeneza hela nzuri lazima upost,share,like na comment huku ukialika wengine ndiyo njia yakukufanya uingize zaidi
 
Umetumia muda gani kufikisha hizo hela?

Ukisema umelipwa $ 100 au $300 haina maana sana kama hujaeleza muda uliochukua kufikisha kiasi hicho.

Pesa hizo kwa wiki au mwezi zinaweza kuwa deal kwa wengi, wakati kama ni kwa mwaka zinaweza kuwa hazifikii hata gharama ya kukuweka online.
 

Mtu kama wewe ata kukutafuta kufanya biashara ni halali kabisa, kwanza unajielewa na sio mchoyo hivyo una hakika ya kuongezewa.

Pili umeonyesha unakielewa ata unachokifanya sio wajinga wengine anafichaficha mambo hapa alafu anaweka namba ntakupigiaje wakati ujanionyesha hapa kama unajua unachofanya! waswahili ndio maana atuendelei mtu anadhani akinificha hapa basi sitokaa nijue.
 
Kuna jinsi ua kufanya ili Adsense iweze support kwa language zote.
Call me for more help 0657315394

Kiongozi mimi nna blog ya kiswahili, ina miezi mitatu na viewrs zaidi ya elfu 30...kwa siku napata wastani watu elfu moja ...Je mpaka hapo naweza kupata adsense? na ili kujiunga ni lazima ni redisign muonekano? na inatakiwa viewers wangapi kwa mwezi uingiziwe pesa kwenye account?

Kama vitu hivi vinawezekana niambie nikutafute.
 
ni rahisi sana, na mimi wamenilipa jana $145.60 kwa anayetaka kupata adsense ni lazima uwe na blog.
nitafute 0674162085
ni c.e.o na Blogger wa www.kitaanibongonews.com na blog zote za KBN MEDIA GROUP....
Na mm ndo mwezi wangu wa kwanza kulipwa, Njoo nitakuelekeza na ikibidi nitakutengenezea adsense account kwa bei rahisi sana.
 


nipe namba ya whatsapp
 
Sasa hivi adsense wamebadilisha Privacy Police zao sasa unaweza Ombea Adsense katika domail yako tu na si ya mwingine.
Cha kufanya ili uweze kupata domain yako ya kuombea Adsense Fuata hatua hizi zifuatazo.

Hatua ya
1. Nenda Freenom.com kisha chagua domain yako ya free ambazo ni .tk, .ga, .ml, .gb
2. Fungua blog nyingine kisha iunganishe na blogger, katika blog hiyo uliyo fungua weka post za kiingeleza tupu pamoja na template nzuri pia template hiyo uweke tags/lable za kiingereza.
3. Nenda katika blog yako SETTINGS>EARNING kisha fuata hatua za usajiri na utapata akaunti yako ya Adsense bila usumbufu.

OFFER: Jinsi ya kuunganisha domain yako na blog yako tembelea link hiii itakusaidia
 
ahh kwa wale wanaotaka adsense aacc na template za kusaidia uweze kupost kiswahili au kuanzisha blog na website ili uweze kutengeneza pesa hadi dola 300 nicheki 0713774746
 
Baada ya kuanza kutangaza matangazo ya Google,Leo nimelipwa pesa hiyo hapo juu japo kuwa kwa akaunti yangu sijaiona,inachukua muda gani kureflect kwa account yangu.

HATIMAE PESA IMEINGIA ILA NIMEKATWA TSHS 55000 NA BANK YA CRDB
Hayo malipo ni ya kazi uliyofanya kwa muda gani?
 
Mkuu bado unatoa hiyo huduma paragraph ya mwisho?
 
Crdb wamekata nini kodi au gharama za upokeaji pesa toka nje?!
Fafanua?!
 
Je wakuu nawezaje kufungua blogger yangu ...
pia nawezaje kupata viewrs,subscribe wengi......
 
Je wakuu nawezaje kufungua blogger yangu ...
pia nawezaje kupata viewrs,subscribe wengi...... kwenye youtube channel yang
 
Nina blog yangu na nimefanikiwa kufikisha $10 na wamenitumia pin code kwenye address lakini sijaipata bado, pin code ilitumwa tarehe 7/12/2020
Kwenye address nilijaza postalcode ya 41110 ambayo inatumika kwa Dodoma sikujaza P.O.Box, Je naweza kupata pin code au nibadili address?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…