Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,462
- 29,163
Hayawi hayawi, Sasa yamekua. Form Five Selections zimetoka tayari.
Vijana sahivi wanaraha sana hadi chuo wanakutaftia kabisaHayawi hayawi, Sasa yamekua. Form Five Selections zimetoka tayari.
Ha ha ha ha tena unapewa mpk namba ya simu ya huko uendako.Vijana sahivi wanaraha sana hadi chuo wanakutaftia kabisa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Washindwe wenyewe tuHa ha ha ha tena unapewa mpk namba ya simu ya huko uendako.
Mzazi umewekewa na ada kabisa ujipime kama unaweza kulipa au la! Kumbe ndio sababu selection zimechelewa, mambo yalikuwa mengiHa ha ha ha tena unapewa mpk namba ya simu ya huko uendako.
kwa mfano kama mwanangu kuchaguliwa kombi ya ati na haitaki haliyakuwa alisoma sayansi na aka pata c 3 ya math,chemia,fizikia na B ya baioloj nafanyaje hapo mkuu hebu nishauri?Mzazi umewekewa na ada kabisa ujipime kama unaweza kulipa au la! Kumbe ndio sababu selection zimechelewa, mambo yalikuwa mengi
Huyo atayaweza makombi ya sayansi advance kwa izo C zake mzee baba advance haswa science sio mchezo anaweza kwenda kupoteza mda miaka miwili iyokwa mfano kama mwanangu kuchaguliwa kombi ya ati na haitaki haliyakuwa alisoma sayansi na aka pata c 3 ya math,chemia,fizikia na B ya baioloj nafanyaje hapo mkuu hebu nishauri?