Hatimae Flora Mbasha awa Flora Kusweka

Huo ni usenge. Nyie ndo mnaoshabikia upumbavu. Hili ni la kulikemea. Binafsi ninawatakia maisha ya hovyo ya hovyo kabisa. Hatuhitaji ushuhuda kama huo kizazi kijacho. Ni upumbavu uliotukuka. Na ajiangalie sana huyo kijana pia huyo binti. Siku zao zinahesabika. Mungu hadhahakiwi hivyo. Msimtukane Mungu kwa kujivika wema usioshuhudia matendo yenu. Wanaume wenzangu pingeni huu ujinga
Unahukumu tena na kuombea mabaya ndio ukristo huo?
 
Mkuu hilo lisikusumbue kuna mungu na Mungu, acha abebe furushi lake kwani Ukristo utaendelea kudumu na misingi yake ni imara bila kujali wangapi wanakengeuka kwa tamaa zao za miili
Umenena.
 
Angeolewaje kwa mara yapili ?? Siangendelea kuzini kama alivozini mpaka kazaa mtoto wapili.
6c5d076f79f20ce56cfccb4813b3ed29.jpg

Soma aya ya 7.
 
Wewe acha kumdanganya na kuudanganya umma. Hiki ni kituko. Ni kinyume na dini yake. Kitendo hiki kipashwa kukemewa kwa ukali sana. Kwa ufupi FLORA kwa sasa ana wanaume wawili na hii inaitwa UKAHABA.
Hivi mchungaji aliyefungisha alikuwa hajui kuwa flora ni mke wa mtu au ndo alishikishwa mtonyo wa maana.....Tutasema ni mchungaji kumbe ni maigizo tu......
 
Back
Top Bottom