Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Hainaga makomboHehe!
Kinyaa gani tena Mkuu..?
Hainaga makomboHehe!
Kinyaa gani tena Mkuu..?
Kwani yule mtoto alomzaa hakugegedwa ?? Sasa dushe lipi unalosema. Huyu mama nilimbukeni hata huyo dogo hata dum nae. Akatokea tena mwingine mweupe hb mrefu anabeba.Mlitaka aishi bila dushe? Mwacheni banaa! Tatizo lake ni kiutangaza sana hiyo ndoa angepiga kimya kimya!
maseke sana.Mang'aa ndo nin
Dogo 24Dogo miaka 26 na flora miaka 38
Nawewe nenda kafanye hivyohivyo Malaya wewe. Mnashabikia usenge wa mwenzenuHongera Flora
Kama GWAJIMA.Kwani yule mtoto alomzaa hakugegedwa ?? Sasa dushe lipi unalosema. Huyu mama nilimbukeni hata huyo dogo hata dum nae. Akatokea tena mwingine mweupe hb mrefu anabeba.
Unahukumu tena na kuombea mabaya ndio ukristo huo?Huo ni usenge. Nyie ndo mnaoshabikia upumbavu. Hili ni la kulikemea. Binafsi ninawatakia maisha ya hovyo ya hovyo kabisa. Hatuhitaji ushuhuda kama huo kizazi kijacho. Ni upumbavu uliotukuka. Na ajiangalie sana huyo kijana pia huyo binti. Siku zao zinahesabika. Mungu hadhahakiwi hivyo. Msimtukane Mungu kwa kujivika wema usioshuhudia matendo yenu. Wanaume wenzangu pingeni huu ujinga
Umenena.Mkuu hilo lisikusumbue kuna mungu na Mungu, acha abebe furushi lake kwani Ukristo utaendelea kudumu na misingi yake ni imara bila kujali wangapi wanakengeuka kwa tamaa zao za miili
Unataka nishabikie ujinga?Unahukumu tena na kuombea mabaya ndio ukristo huo?
Angeolewaje kwa mara yapili ?? Siangendelea kuzini kama alivozini mpaka kazaa mtoto wapili.Kwa hiyo ulitaka asiolewe.mbona povu?
Angeolewaje kwa mara yapili ?? Siangendelea kuzini kama alivozini mpaka kazaa mtoto wapili.
Ima yupo yupo haiHivi yule mumewe wa awali amefariki?, jina limenitoka
Hivi mchungaji aliyefungisha alikuwa hajui kuwa flora ni mke wa mtu au ndo alishikishwa mtonyo wa maana.....Tutasema ni mchungaji kumbe ni maigizo tu......Wewe acha kumdanganya na kuudanganya umma. Hiki ni kituko. Ni kinyume na dini yake. Kitendo hiki kipashwa kukemewa kwa ukali sana. Kwa ufupi FLORA kwa sasa ana wanaume wawili na hii inaitwa UKAHABA.
Hakuna aliyekwambia ushabikie au usishabikie,kwani huko kuhukumu na kuwaombea wenzio mabaya amekwambia nani?Unataka nishabikie ujinga?
Wasukuma unawajua au unawasikia?Huyu mtot wa kiume hana kinyaa!