Survey ndio mtaa uliopo jirani na UDSM wanafunzi ni wengi sana aendelee na ulokole wake huo mtaa wanafunzi wamefanya pamekuwa kwa kihuni kama soweto tegemea dogo kuwa mteja mzuri wa KARABASHI BAR ndio baa yao wana UDSM wikend kuanzia ijumaa hadi kuamikia jumatatu alfajiri na kwa mchango wao jirani na karabashi kuelekea mwenge kuna bar mpya inatikisa ile mbaya wanafunzi huwaambii kitu dogo akafate kilichompeleka.
Unataka awe padri?Dah kweli kazi anayo. Kuna mtu kaniambia kule pisi kali zipo kama zote. Nimemsihi sana asiwe na tamaa za kimwili. Ila kwa story zako mkuu sijui kama atatoboa
Yeye ni mtu mzima kwa hiyo atajikontrol mwenyewe.Dah kweli kazi anayo. Kuna mtu kaniambia kule pisi kali zipo kama zote. Nimemsihi sana asiwe na tamaa za kimwili. Ila kwa story zako mkuu sijui kama atatoboa
Nasikia kozi nyepesi hii.Public Administration
Kuna uhitaj gan wa kukaa survey wakat hostel zipo. Hiyo hela ya nauli kwenda chuo kila siku si bora mpelekee watoot yatima. Labda pia kuna kitu behindWakuu niaje?
Hatimae dogo anaanza chuo UDSM mwaka huu. Amekomaa tumpangishe survey kwa vile marafiki zake nao wamepata huko pia, je kuna usalama kweli? Au ndo mwanzo wa kumpoteza kabisa kwenye radar ya ulokole wetu (Dogo ni wa kiume)
Na uzee huu kuna siku nilipita pale 5N opposite Miimani city...dah...nikaogopa sana niliyoyaona...nikabonyea nikapiga vyombo nikala nikasepa...nilishindwa hata kuokota kademu manake viduchu sanaSurvey ndio mtaa uliopo jirani na UDSM wanafunzi ni wengi sana aendelee na ulokole wake huo mtaa wanafunzi wamefanya pamekuwa kwa kihuni kama soweto tegemea dogo kuwa mteja mzuri wa KARABASHI BAR ndio baa yao wana UDSM wikend kuanzia ijumaa hadi kuamikia jumatatu alfajiri na kwa mchango wao jirani na karabashi kuelekea mwenge kuna bar mpya inatikisa ile mbaya wanafunzi huwaambii kitu dogo akafate kilichompeleka.
Aache mbwembwe akae hostel kwa mazingira tulivu ya kusoma, hasa usiku na urahisi wa kufika madarasani..Wakuu niaje?
Hatimae dogo anaanza chuo UDSM mwaka huu. Amekomaa tumpangishe survey kwa vile marafiki zake nao wamepata huko pia, je kuna usalama kweli? Au ndo mwanzo wa kumpoteza kabisa kwenye radar ya ulokole wetu (Dogo ni wa kiume)
Savei km anamudu ni sawa km anataka cheap room achek ubungo kibangu,rivaside,Wakuu niaje?
Hatimae dogo anaanza chuo UDSM mwaka huu. Amekomaa tumpangishe survey kwa vile marafiki zake nao wamepata huko pia, je kuna usalama kweli? Au ndo mwanzo wa kumpoteza kabisa kwenye radar ya ulokole wetu (Dogo ni wa kiume)