Hatima ya kusoma Community Development ni nini?

Hatima ya kusoma Community Development ni nini?

Kusimamia na kubuni miradi yote inayohusiana na maendeleo ya jamii
 
Kuna kazi nyingi sana.... Nenda Google ka search.
 
Mmh!
Kwa sasa hiyo kitu kuweza kuajiriwa ni Bahati nasibu kweli kweli na kuweza kujiajiri ni ndoto.
Ushauri wangu, achana nayo, tafuta kozi za Elimu na Afya.
 
Nmeulizwa hatma ya kusoma Community Development sijapata jibu. Naomba msaada wenu.
1474558640556.jpg

Kusaidia raia kama hawa, ambao wametelekezwa na Serikali yao
 
Kuwa na fursa sana ,Hasa katika jamii.
Nakushauri usiiwache hiyo kozi
 
Kuisaidia jamii kuweza kutambua fursa na vikwazo vya maendeleo na kuweza kutumia fursa hizo ili kuweza kutatua matatizo yao na kujiletea maendeleo endelevu.
Ajira zipo sema zina ushindani kwahiyo ni juu yako kujitambua
 
Back
Top Bottom