Hati fungani Tanzania uwe na mtaji mkubwa kuanzia milioni 500 ama zaidi.
Imagine ukiweka milioni 100, utapata faida kwa mwaka milioni 9.5 sawa na shilingi laki 790 kwa mwezi.
Fikiria, je ukifingua hardware store ya milioni 100, kwa mwezi utapata faida ya laki 790 tu?
Ama ukiweka milioni 50 Mpesa, kwa mwezi utapata faida ya laki 790 tu?
Kwa msingi huo, hati fungani ni kwa wenye mtaji mkubwa tu.