Mademu huwa wanalewa kipumbavu sana!Tafakari kiongozi A na B huweza kuwa ni majibu mkuu.
Mwanamke anayejielewa halewi mpaka kukata netwokHahahahah. Lol.
Mmmhh, labda. Kama kuna mtu kafanya hivyo ni ushenzi wa kiwango cha std gaugeLabda kaekewa vitu vikali mkuu.
Daa tuko tofauti lakiniSi amefanya ili apate anachokitaka mkuu.
Tatizo yeye hajui kama atalewa sana.Mwanamke anayejielewa halewi mpaka kukata netwok
Halafu jamaa amekaa kibangi bangi tu
Tatizo yeye hajui kama atalewa sana.
Pia wengine hunywa akifikiria anamkomoa mlipa bill kumbe anajikomoa zaidi mwenyewe.
Sasa check alivyo mateka mikononi mwa njemba hiyo! Tena usikute yapo hata 2.
Sasa hapo ni kama ng'ombe aliyeangukia nyumbani kwa muuza bucha.