Dotworld JF-Expert Member Aug 10, 2011 4,035 3,773 Aug 11, 2012 #3 Jamaa alivyoanguka mara ya kwanza akajifanya kaishiwa nguvu kabisa ... sasa mbona pikipiki ilivyomfuata alipata wapi nguvu za kukimbia mara ya pili
Jamaa alivyoanguka mara ya kwanza akajifanya kaishiwa nguvu kabisa ... sasa mbona pikipiki ilivyomfuata alipata wapi nguvu za kukimbia mara ya pili
Mwanahisa JF-Expert Member Jun 29, 2012 1,382 510 Aug 11, 2012 #4 Utamu wa bodaboda upepo bwana! Ila ikikulaza chini sasa.