Kiranga wala usitoe povu, post namba wani imeanza na red, yawezekana aliyeleta thread alitaka ku-delete post yake akashindwa au aliweza but someone (mwenye access) alirudisha, for wathever damn reasons know only to evil minded muppets
sidhani kama kuna ukweli wala sidhani kama kamwela ana umri hata wa kujua anayoongelea kuhusu relationship
tabia ya mtu, ipo tu, anaweza asisome na ukakoma vilevile (tuna zaidi ya threads mia moja humu zinazoonyesha huge range ya personalities na mahusiano