TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,202
- 25,377
Sikia kwa makini
Dini uliyonayo ni ujinga
Usijivunie dini
Dini ni udanganyifu
Dini ni upotofu
Dini ndio inakuzuia kufanikiwa
Dini ndio imefunga Afrika kuendelea
Dini inatumiwa na wanasiasa kama mwamvuli
Dini ni takataka kama zingine
Aliyoandika biblia ndiye aliyekuja kuipinga
Aliyeandikwa Qur'an ndiye aliyekuja kukiri ni maneno yake mwenyewe.
Dini haitakusaidia hata kidogo
Dini inakufanya kushindwa kutoka kwenye umaskini
Dini ni ukuta wa dhambi nyingi sana
Acha kurubunika kwamba dini ndio njia ya kumwona Mungu,
Mungu ni huyu hapa
Mungu ni wewe mwenyewe
Mungu ni jirani yako
Usipompenda jirani yako huna Mungu ndani yako,
Usidanganywe na dini yako ukifa utaoa wanawake wenye macho kama vikombe tambua pepo inaanzia hapa duniani, wala hakuna mahali baada ya kifo utaenda kuchukua hizo zawadi za wanawake wenye macho kama kombe.
Wala kuvaa taji isikupagawishe kuwa ukifa utanda kuvaa taji, hizo ni nadharia taji unaivaa kuanzia hapa duniani huwezi kuishi kwa shida na umskini na ukasema nitavishwa taji sio lazima uwe tajiri wa Mali na majumba utajiri wa nafsi na moto ndio utakufanya kuvaa taji hapa duniani huwezi amini Mungu ni wewe ILA ufahamu hauna ndio maana dini zinatumika kukufungu na kuamini matatizo yanakuja kama fursa ila toka gizani utambue dini ni kitamba cheusi usiamini katika dini.
"Mambo haya ni mazito sana"
Dini uliyonayo ni ujinga
Usijivunie dini
Dini ni udanganyifu
Dini ni upotofu
Dini ndio inakuzuia kufanikiwa
Dini ndio imefunga Afrika kuendelea
Dini inatumiwa na wanasiasa kama mwamvuli
Dini ni takataka kama zingine
Aliyoandika biblia ndiye aliyekuja kuipinga
Aliyeandikwa Qur'an ndiye aliyekuja kukiri ni maneno yake mwenyewe.
Dini haitakusaidia hata kidogo
Dini inakufanya kushindwa kutoka kwenye umaskini
Dini ni ukuta wa dhambi nyingi sana
Acha kurubunika kwamba dini ndio njia ya kumwona Mungu,
Mungu ni huyu hapa
Mungu ni wewe mwenyewe
Mungu ni jirani yako
Usipompenda jirani yako huna Mungu ndani yako,
Usidanganywe na dini yako ukifa utaoa wanawake wenye macho kama vikombe tambua pepo inaanzia hapa duniani, wala hakuna mahali baada ya kifo utaenda kuchukua hizo zawadi za wanawake wenye macho kama kombe.
Wala kuvaa taji isikupagawishe kuwa ukifa utanda kuvaa taji, hizo ni nadharia taji unaivaa kuanzia hapa duniani huwezi kuishi kwa shida na umskini na ukasema nitavishwa taji sio lazima uwe tajiri wa Mali na majumba utajiri wa nafsi na moto ndio utakufanya kuvaa taji hapa duniani huwezi amini Mungu ni wewe ILA ufahamu hauna ndio maana dini zinatumika kukufungu na kuamini matatizo yanakuja kama fursa ila toka gizani utambue dini ni kitamba cheusi usiamini katika dini.
"Mambo haya ni mazito sana"