Lawrichie
JF-Expert Member
- Aug 27, 2013
- 879
- 2,451
Wana Jamiiforums wenzangu naombeni Ushauri.
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu ni tofauti, pia hata malengo ya kuoa kwa sasa bado sina coz bado najijenga kimaisha. Mimi ni Mwanaume niliyekamilika nani atanitimizia haja zangu kama siyo yeye.
Anadai ananipenda hataki tuachane.
Niko njia panda ndugu zangu naomben msaada na ushauri.
Asanteni
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu ni tofauti, pia hata malengo ya kuoa kwa sasa bado sina coz bado najijenga kimaisha. Mimi ni Mwanaume niliyekamilika nani atanitimizia haja zangu kama siyo yeye.
Anadai ananipenda hataki tuachane.
Niko njia panda ndugu zangu naomben msaada na ushauri.
Asanteni