tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Hivi mpaka leo kuna watu bado mnaibiwa na hadithi za bikira?
Sasa wewe umethibitishaje ubikra wake bila kumgonga?
Wajanja wamekula hiyo chakula mpaka kikachoka sasa anakuvizia akukamatishe na kitu kilichoisha utamu. Subiri uoe
Hivi mpaka leo kuna watu bado mnaibiwa na hadithi za bikira?
Wana Jamiiforums wenzangu naombeni Ushauri.
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu ni tofauti, pia hata malengo ya kuoa kwa sasa bado sina coz bado najijenga kimaisha. Mimi ni Mwanaume niliyekamilika nani atanitimizia haja zangu kama siyo yeye.
Anadai ananipenda hataki tuachane.
Niko njia panda ndugu zangu naomben msaada na ushauri.
Asanteni
Ukiona demu anakunyima utama zaidi ya siku tisini tangu umtongoze achana nae...unapoteza muda na gharama zako...hajakupenda..demu akikupenda hata ndani ya kichaka atakupa utamu...acha kupoteza muda wako
Anakudanganya huyo. Achana nae. Anakupendea vizawadi vyako.
Asante Kaka! Ila Ndoa Siyo mchezo, siwez kukurupuka tu kuoa eti kisa mwanamke ni bikra....Yani hata dini zenyewe tuko tofauti! Cjui nifanyaje....
Wana Jamiiforums wenzangu naombeni Ushauri.
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu ni tofauti, pia hata malengo ya kuoa kwa sasa bado sina coz bado najijenga kimaisha. Mimi ni Mwanaume niliyekamilika nani atanitimizia haja zangu kama siyo yeye.
Anadai ananipenda hataki tuachane.
Niko njia panda ndugu zangu naomben msaada na ushauri.
Asanteni
Asante Kaka! Ila Ndoa Siyo mchezo, siwez kukurupuka tu kuoa eti kisa mwanamke ni bikra....Yani hata dini zenyewe tuko tofauti! Cjui nifanyaje....
Asante Kaka! Ila Ndoa Siyo mchezo, siwez kukurupuka tu kuoa eti kisa mwanamke ni bikra....Yani hata dini zenyewe tuko tofauti! Cjui nifanyaje....
Mmh hebu acheni kudanganya wenzenu kuna wenye misimamo yao si kila anaekataa ngono kabla ya ndoa basi anacheat,huyo bint anapenda ndoa yeye kama hawezi basi na amuache mtoto wa watu atapata anaemstahili.