Hataki kutoa kipochi manyoya hadi ndoa

Hataki kutoa kipochi manyoya hadi ndoa

Nilikuwa nasikia tu story kuwa kudet na vitoto vidogo ni stress tu...kuna kisichana kina miaka 22 nilikatamani nikakatongoza ananipenda na ameniweka wazi juu ya uhusiano wake uliovunjika miezi michache iliyopita...kiukweli nampenda ila ataki kabisa swala la kugegedana eti hadi tuoane...jamani ebu nipeni mbinu ya kulila tunda la huyu binti kwani najihisi nimeishiwa maarifa kabisa kwenye akili yangu...mbaya kabisa ataki kabisa kukutana na mimi faragha tukiwa wawili ila nikiwa na mabest zangu anabiletea swaga za mahaba niue😂😂😂
kwanza pole anza na mbinu hii kama siku mkionana kila siku mkiagana hakikisha una mksiss na hakikisha una mkiss romantic na gentle touching unajenga mazoea siku nyingine unahamia french kiss na touching baaadaye atazoea kidogo tuuu anakupa mwenyewe
 
Kaka hapo kuna jambo kubwa nyuma ya pazia. Kama alishagawa kabla kwa wewe isingekua ngumu hivyo,atakua na udhaifu anaojua ukiujua kupitia mwili wake hutamwoa. Angalia unadondoshewa jumba bovu hilo...
Nisaidie...nifanyaje sasa...nipo njia panda mwenzako
 
Lakini binadamu timamu hahitaji ushauri wa mambo kama haya, kwani huna mengine ya muhimu ambayo ungependa tukushauri? Ila samahani kama utakwazika.
Asante...nadhani muda huu nahitaji ushauri huu...muda mwingine nitaomba ushauri wa jambo lingine
 
Nilkua rafiki yangu wa itikadi hizo. K
Jamaa yetu alikua naye kwa miaka 3 bila kula tunda. Baada ya kulipa mahari na kuvisha pete ndipo jamaa akapewa gemu. Siku hiyo hiyo jamaa alimtia mimba na akafunga naye ndoa kwa baba paroko ndani ya miezi 2. Wana watoto wawili na uchumi wa kati!
 
kila mwanamke ana nyege ni jinsi ya kuzichokoza ukishazichokoza akachokozeka basi anakuletea mwenyewe halafu anajilaumu mwenyewe ila anakua analeta tuu halafu haelewi kwanini ndo basi tena ...mwanamke ukimuweza unamfanya sex slave wako mkuu
Kweli enh...ila hivi vitoto visumbufu sana...ndio maana huwa napenda midada au mishangazi huwa haina usumbufu kama huu...
 
Jamaa alikula mzigo...bado anaishi kwao na wala sio geti kali...kwao wananifahamu...ila gemu tu ataki kitoa...nataka nionje kwanza kisha ndio nipange kuoa ama lah.
Fuckin kama alikula nawe kula kwanza ataki asepe tu, ukimkubalia siku anakuacha wewe hutaamini kwanza kula ili uwe umeshika ukali wewe
 
Mpaka hapo hufai coz huwez, na ivi kwanza nikuulize are you serious huna mbinu????
mbinu nilio kuwa nayo ni ya kumpeleka magetoni kisha kuanza kumtomasa na namuona kabisa hayupo teyari kwa kitendo hicho.....hapo tu ananipotezea muda...nataka awe awareness muda wowote sio mambo ya kurazimishana
 
Fuckin kama alikula nawe kula kwanza ataki asepe tu, ukimkubalia siku anakuacha wewe hutaamini kwanza kula ili uwe umeshika ukali wewe
tatizo mwenzangu huyu ana utoto mwingi...nahisi bado ajakuwa ama pengine ananiigizia
 
Wewe una age gani???
Nilikuwa nasikia tu story kuwa kudet na vitoto vidogo ni stress tu...kuna kisichana kina miaka 22 nilikatamani nikakatongoza ananipenda na ameniweka wazi juu ya uhusiano wake uliovunjika miezi michache iliyopita...kiukweli nampenda ila ataki kabisa swala la kugegedana eti hadi tuoane...jamani ebu nipeni mbinu ya kulila tunda la huyu binti kwani najihisi nimeishiwa maarifa kabisa kwenye akili yangu...mbaya kabisa ataki kabisa kukutana na mimi faragha tukiwa wawili ila nikiwa na mabest zangu anabiletea swaga za mahaba niue
 
Nilkua rafiki yangu wa itikadi hizo. K
Jamaa yetu alikua naye kwa miaka 3 bila kula tunda. Baada ya kulipa mahari na kuvisha pete ndipo jamaa akapewa gemu. Siku hiyo hiyo jamaa alimtia mimba na akafunga naye ndoa kwa baba paroko ndani ya miezi 2. Wana watoto wawili na uchumi wa kati!
dah inakera sana hii
 
Nilkua rafiki yangu wa itikadi hizo. K
Jamaa yetu alikua naye kwa miaka 3 bila kula tunda. Baada ya kulipa mahari na kuvisha pete ndipo jamaa akapewa gemu. Siku hiyo hiyo jamaa alimtia mimba na akafunga naye ndoa kwa baba paroko ndani ya miezi 2. Wana watoto wawili na uchumi wa kati!
dah inakera sana hii
 
Back
Top Bottom