Hataki kutoa kipochi manyoya hadi ndoa

Hataki kutoa kipochi manyoya hadi ndoa

Nilikuwa nasikia tu story kuwa kudet na vitoto vidogo ni stress tu...kuna kisichana kina miaka 22 nilikatamani nikakatongoza ananipenda na ameniweka wazi juu ya uhusiano wake uliovunjika miezi michache iliyopita...kiukweli nampenda ila ataki kabisa swala la kugegedana eti hadi tuoane...jamani ebu nipeni mbinu ya kulila tunda la huyu binti kwani najihisi nimeishiwa maarifa kabisa kwenye akili yangu...mbaya kabisa ataki kabisa kukutana na mimi faragha tukiwa wawili ila nikiwa na mabest zangu anabiletea swaga za mahaba niue
Muuni unataka upige usepe.

Usisahau kuwa uzinzi ni dhambi mkuu. Acha kumshawishi mwenzio kutenda dhambi.
 
Unataka kuoa au kumega na kusepa? Kama wa kumega na kusepa basi tafuta wa aina hiyo, ila kama unataka wa kuoa basi muoe. Jua kutofautisha siyo kila mmoja wa kumegwa ovyo tu, wapo wenye malengo yao
 
Kwani lazima umpitie? Yaani wanaume bwana mtoto wa watu anataka ajitunze kwa ajili ya ndoa wewe unalazimisha akubali umpitie halafu ukimaliza upotee

Sasa kama unataka kupiga na kusepa si ukatafute wanawake wanaotaka kufanyiwa hivyo? Mnaharibu wanawake wa watu halafu mwisho wa siku mnakuja kulalamika kuwa wanawake ndo wabaya
 
Nilikuwa nasikia tu story kuwa kudet na vitoto vidogo ni stress tu...kuna kisichana kina miaka 22 nilikatamani nikakatongoza ananipenda na ameniweka wazi juu ya uhusiano wake uliovunjika miezi michache iliyopita...kiukweli nampenda ila ataki kabisa swala la kugegedana eti hadi tuoane...jamani ebu nipeni mbinu ya kulila tunda la huyu binti kwani najihisi nimeishiwa maarifa kabisa kwenye akili yangu...mbaya kabisa ataki kabisa kukutana na mimi faragha tukiwa wawili ila nikiwa na mabest zangu anabiletea swaga za mahaba niue
Acha utoto mkuu kuku wako manati ya nini?subiri aingie bandani.
 
Hahah sasa mbona umeweka tahadhari mkuu, tupe maelekezo bei na mahali zinapopatikana
Kuna bubblegum zinazo ongeza ashiki kama wewe ni mtoto wa mjini zitafute huo kisha jitahidi umuite mkae faragha kisha mpatie aitafune ....... Baada ya kama dkk 30 Ataanza kujisikia ashiki yaani zile zilizovuka kiwango lazima atakuambia mfanye matusi tu ''... au atakuonyesha hizo dalili .........


BTW--- sihitaji usumbufu pm
 
Lakini binadamu timamu hahitaji ushauri wa mambo kama haya, kwani huna mengine ya muhimu ambayo ungependa tukushauri? Ila samahani kama utakwazika.
 
Kama mtoto kakushinda mbinu basi inawezekana wewe ni mkubwa umri tu ila kimaarifa wewe ni mtoto kwake.
Inawezekana...nadharia zangu itakuwa zinaniponza maana huwa sipendi penzi la kulazimisha...si unajua mapenzi starehe...
 
Unataka kuoa au kumega na kusepa? Kama wa kumega na kusepa basi tafuta wa aina hiyo, ila kama unataka wa kuoa basi muoe. Jua kutofautisha siyo kila mmoja wa kumegwa ovyo tu, wapo wenye malengo yao
Mbona alie pita amemega kiulaini tu...?
 
Kwani lazima umpitie? Yaani wanaume bwana mtoto wa watu anataka ajitunze kwa ajili ya ndoa wewe unalazimisha akubali umpitie halafu ukimaliza upotee

Sasa kama unataka kupiga na kusepa si ukatafute wanawake wanaotaka kufanyiwa hivyo? Mnaharibu wanawake wa watu halafu mwisho wa siku mnakuja kulalamika kuwa wanawake ndo wabaya
Ameshapitiwa na wengine...kwanini mimi anibanie wakati ninafuture nae nzuri tuu
 
Back
Top Bottom