asante sana kwa ushauri mzuri, nimejifunza kitu mkuuKijana tatizo liko kwako sio kwa mpenzi wako. Maadam ulishamtambua kuwa hapendi MTU Bali PESA yako.
Hivyo umeshindwa kutega mtego wa kuunganisha Hitaji lake na Hitaji lako.
Inaonekana unataka PAPUCHU hilo ndio Hitaji lako. NA yeye anataka PESA.
Ila yeye anafanikiwa kupata hitaji lake hivyo hana makosa kabisa. Makosa yako kwako kwani Unashindwa kutumia Njia sahihi ya kupata hitaji lako.
Tambua kuwa kwamwe hutopata Papuchi ya mpenzi wako, kama mitego yako haitaweza kuunganisha kile anacho kihitaji kwako na kile unachokihitaji kwake.
Mbinu hii inafaa kama nawewe hitaji lako kwake ni Papuchu.Ila kama ulikuwa na male go nae kimaisha, Achana nae.
ni kweli mara nyingi anapokuja huniambia hataki kukaa sana, anawahi nyumbani kwa ivo kama ni mazungumzo labda cku nyingine.Kwanini anapokua kaja kuchukua anachokitaka.. usitumie mda huo kuongelea mambo yako befor haujampa? na kama atakuambia hana mda wa kuongelea hayo mambo.. basi hapo jitoe hakuna mapenz hapo. Tafta ataekua na mda kuongea na kupanga mipango yenu.
She saved you!daaah...!!! asante mkuu kwa ushauri wako
Wadau na mimi nna shida hiyohiyo ila wangu huwa hataki pesa
daah,,khy akiwa na shida ya hela ndo anakufuta...kweli mjin msingi kiuno🙂Bila shaka mko poa wakuu.
Ni miezi kadhaa imepita tangu nilivoanzisha mahusiano na girlfriend wangu, ila kuna jambo limekuwa linaniumiza kichwa na kushindwa kuelewa nifanye nini.
Kila ninapohitaji kuonana nae ili nibadilishane nae mawazo ananipa vikwazo vingi mara nimechoka, sina muda, nina kazi nyingi n.k.
Ila anapohitaji kitu nikimwambia njoo tuonane anakuja haraka.
Naombeni ushauri wenu pls.
Hahaaa pole mkuu huyo sio mpenz sahihi kwako bali yupo kwa ajili ya kukuchuna,jiongezeBila shaka mko poa wakuu.
Ni miezi kadhaa imepita tangu nilivoanzisha mahusiano na girlfriend wangu, ila kuna jambo limekuwa linaniumiza kichwa na kushindwa kuelewa nifanye nini.
Kila ninapohitaji kuonana nae ili nibadilishane nae mawazo ananipa vikwazo vingi mara nimechoka, sina muda, nina kazi nyingi n.k.
Ila anapohitaji kitu nikimwambia njoo tuonane anakuja haraka.
Naombeni ushauri wenu pls.