Hataki kuolewa na mimi msaada tafadhari


Tafadhari = tafadhali
 
Hakuna mademu wengine ambao unaweza kuwaoa?
Kwa nini unamtaka zaidi huyo?
 
We jamaa jitambue ndoa haipewi offer kama bia utaka uoe limbukeni ambaye bado dunia inamchanganya kiufupi hyo demu ana washikaji kibao ndo maana hakupi uzito ww
Nahisi hilo jambo mkuu.sawa wacha nijaribu mpotezea tu kwan yeye sio mzazi wangu
 
Huyu mleta mada seems kuna mengi hajawahi ona au ku experience.

Mwanangu haya mambo hatukurupuki....u got a great life ahead of u. Majuto mjukuu. Wanawake ni wengi wengi sanaa....Be Patient.

Ifike wakat ujue the difference between True Love and what u think is True Love.
 
M
mkuu nashukuru sana nimekuelewa
 
Nadhan hufaham ndoa ni nin otherwise usingemlazimisha.
mkuu umeniweka njia panda please nipe ushauri usinikatishe tamaa kumbuka we live at oncee na tunajifunza thru life thats why nataka jf members wenzangu mnipe mawazo yenu
 
Sasa mkuu kama kashakataa, mwache! Hapo wala ulikuwa huna haja ya kukimbilia kulia huku, zaidi huku hakuna kipya utakachokipata cha kumfanya atake kuwa na wewe kama ndo maumuzi yake!
ni kweli mkuu but huku nimefata ushauri mzuri kama wako how to avoid them
 

Wanaojielewa wengi wana allerg na neno demu!
 
Aisee mshukuru sana kwa kuwa muwazi na kukukatalia wazi, moyo wa mtu ni fumbo. Huyo hakupendi na tafadhali muache kabisa kabisa wala usipuuze ushauri wa wajumbe hapo juu.

Pia kaza kutafuta pesa ili uwe huru katika maisha mengine nje na ndani ya ndoa na familia.
 
USILAZIMISHE UTAJUTA.SEPA TAFUTA MWINGINE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…