Habari wakuu ni hivi nina demu wangu wa kitambo kidogo na mimi ndio nilimtoaga usichana sasa alihama mitaa yetu kuna mahali anaishi,sasa kipindi hiki nimempa ofa ya ndoa amegoma kuishi na mimi na nazani hata tabia zake ni za ajabu kwan avai nguo za stara mimi nilitaka nimbadilishe but anaonesha kureact msaada wakuu nifanyaje na mimi naitaji kuoa.
Sawa mkuu nashkuru kwa ushauriHuyo hakupendi tafuta mwingine
Nahisi hilo jambo mkuu.sawa wacha nijaribu mpotezea tu kwan yeye sio mzazi wanguWe jamaa jitambue ndoa haipewi offer kama bia utaka uoe limbukeni ambaye bado dunia inamchanganya kiufupi hyo demu ana washikaji kibao ndo maana hakupi uzito ww
mkuu nashukuru sana nimekuelewaMkuu wala usilazimishe ndoa sbb huyo sio wako mpaka hapa. Tayari ana mwingine anayempenda sana na anatamani aolewe naye ila sio ww. Mtu anayekupenda kwanza ukimwambia suala ndoa anafurahi sana na hawez kukataa hata kusita kwa sekunde. Zaid ya kusema YES
Huyo muache tu, wala usisumbuke naye. Mapenz hayalazimishi. Wanawake wapo wengi tu mkuu japo unaumia lkn jikaze kiume utayashinda mapenz ndiyo yalivyo.
Tafuta binti mzuri kuliko yy uoe kbsa
mkuu umeniweka njia panda please nipe ushauri usinikatishe tamaa kumbuka we live at oncee na tunajifunza thru life thats why nataka jf members wenzangu mnipe mawazo yenuNadhan hufaham ndoa ni nin otherwise usingemlazimisha.
ni kweli mkuu but huku nimefata ushauri mzuri kama wako how to avoid themSasa mkuu kama kashakataa, mwache! Hapo wala ulikuwa huna haja ya kukimbilia kulia huku, zaidi huku hakuna kipya utakachokipata cha kumfanya atake kuwa na wewe kama ndo maumuzi yake!
Mkuu mm mwenyewe kabaskeli sina but nina ambitions kubwa tuMnunulie kagari. Atakupenda fasta. Yani moyo wake utafunguka kama kabyureta ya boxer Bm 150 na mwendo utakuwa ni spidi 120!
Hahahaaaa... Vijana hawa..Eti umpe offer ya ndoa Hivi uko serious wewe?
Habari wakuu ni hivi nina demu wangu wa kitambo kidogo na mimi ndio nilimtoaga usichana sasa alihama mitaa yetu kuna mahali anaishi,sasa kipindi hiki nimempa ofa ya ndoa amegoma kuishi na mimi na nazani hata tabia zake ni za ajabu kwan avai nguo za stara mimi nilitaka nimbadilishe but anaonesha kureact msaada wakuu nifanyaje na mimi naitaji kuoa.
Mkuu moyo 2 ulimpenda yeye ila ndio ivo cna bahat nayeHakuna mademu wengine ambao unaweza kuwaoa?
Kwa nini unamtaka zaidi huyo?