Nina ushahidi wa kutosha, nimempigia mwanamke amekiri.
Yaani kuona Chart unadai Talaka ungewafuma wakigegedana si ndio ungekufa kabisa.....Ni mume wangu, mwaka wa 7 ndoani with one kid, nimefuma anachat na mwanamke kimahaba, nikajishusha tuyaongee mwenzangu ananijia juu.
Sasa nimeamua ndoa basi, nataka talaka yangu na yeye kunipa hataki.
Niko stressed jamani, nishaurini mwenzenu.
Yani Mimi ndio nimekosewa na bado nanuniwa, na nikimwambia tuachane hataki. Nifanyeje?
Talaka kisa chati, grow up.
Utoto unakusumbua, ulifikiri ndoa ni kama kucharge simu ikijaa unachomoa tu.
Nyie ndio mnaobomoaga ndoa za wenzenu. Akishaenda huko dawati la jinsia kitakachofuata ni nini? Mbona wewe Mr Air alipowehuka hukumpeleka huko dawati la jinsia?.Angalia namna nyingine ya kumshauri.kwnini lakini unakubali kupigwa na ww mamy k?/yaan ajispoil na mademu na bado akupige?naja pm aic nikupe mambinu huko,masuala ya kupigwa yalikuwa kwa bibi zetu aic,tena mwambie kbs sitak unipige siku akikupihga nenda dawat la jinsia fastaaa wanaenda kumbeba
Dada pole sana ila Naomba nikuulize kitu..
Uliolewa kwa kutumia masharti ya Mganga wa Kienyeji? au Kuna Kitu tofauti na Hicho? Uliolewa kwa ajili ya Kuondoa Mkosi ukooni mwenu? Una Umri gani wa Kuzaliwa? Yaani Kuchati tu... Hivi nyie viumbe wa siku hizi mumetoka Ubavuni mwa Wanyama kama Mapaka hata Paka ana Roho Saba hapana , Nini Hasa. Nashindwa hata kukuelewa.
Nikushauri nenda nyumbani katulize hizo hasira za kipumbavu...
Umemkuta anachati na Msichana unataka Talaka. Na ulaniwe.
THE FIRST COMMENT BLESSING MWANAMKE MWENZIO KATIKA HALI HII.. SHE IS TO FAST AND SPEED? YOUR LAST SENTENCE IMEONGEA VIZURI SANA... LAKINI KAMA ULIKUWA UMESHAAMUA KUACHANA NAE NA ULIKUWA UNATAFUTA SABABU GOO AHEAD. ACHA KUTUJAZIA THREAD ZA AJABU WAKATI TUNAJIANDAA KWENDA KANISANIUpo speed kama rocket mama... embu tuliza akili ,punguza hasira ,halafu fikiria future ya mwanao ... halafu jua nafasi yako kama mama ..
Mchepuko ni temporary tu huwa hawakai kama mke ukisimama imara katika ndoa yako.. usikubali mtu kuchukua haki yako kisa tu mwanamke asiyejua thamani yake...
Omba pesa za matumizi kwa upole na upendo na usigusie ujinga wake. Biblia imesema aziniye na mwanamke hana akili.. sasa mumeo kama anazini huko jua hana akili na usipokuwa na akili mwanao anahali ngumu
Si mama imara Sali , Weka malengo katika maisha yenu, angalia mwanao.. basi .
Muhimu wakati wa kusali usijipangie adhabu we mwachie Mungu afanye ...
Lakini kama ulikuwa umeshaamua kuachana nae na ulikuwa unatafuta sababu okey mama endelea tu kumfokonyoa ..
HUYU MRS AIR HANA UANAKE UTAKUTA HATA NDOA HAIJUI SHE HOPELESS YAANI .. ATI KUPIGWA ATI MIMI SIJAPIGWA.. DONT PUT YOUR LIFE STYLE TO SOMEONE LIFE.. KWA HIYO UNAPENDA AKIMBILIE HUKO.. HAJAFIKIRIA MTOTO, HAJA FIKIRIA LEGACY YA MIAKASABANyie ndio mnaobomoaga ndoa za wenzenu. Akishaenda huko dawati la jinsia kitakachofuata ni nini? Angalia namna nyingine ya kumshauri.
Nyie ndio mnaobomoaga ndoa za wenzenu. Akishaenda huko dawati la jinsia kitakachofuata ni nini? Angalia namna nyingine ya kumshauri.
hahahahahhha hujui tu uchungu alionao huyu dada we endelea tu kuhis kaolewa kuondoa mikosi,ndo maana wanawake tunaMUAGA KUBADILIKA MAZIMA ALAF MNAANZA KUJA KULIA LIA hapa huyu mdada akishaweza kujiontrol hasira zake akawa anadharau kila kitu kwa mmewe ,ss hv mumewe ataanza kulia lia oh umebadirika kuna mtu anakudanganya kumbe hamjui chanzo ni nyinyi hapo,
SIJAONA WAPI MAMA K AMESEMA AMEPIGWA...hebu nisome kwa umakini hv siku ampige amvunje kiungo unahis ni hasara ya nan hapo km si ya wote,unahsira nenda bar kakae na marafk mihasira yako itaisha sio kuja kupiga piga mkeo
HUYU MRS AIR HANA UANAKE UTAKUTA HATA NDOA HAIJUI SHE HOPELESS YAANI .. ATI KUPIGWA ATI MIMI SIJAPIGWA.. DONT PUT YOUR LIFE STYLE TO SOMEONE LIFE.. KWA HIYO UNAPENDA AKIMBILIE HUKO.. HAJAFIKIRIA MTOTO, HAJA FIKIRIA LEGACY YA MIAKASABA
MAMA NI BORA UNGEKAA KIMYA ILA ULIMI WAKO HAUNA BARAKA NA SIYO WA MSAADA KABISA CHUKUA KIOO FIKIRIA MTOTO ...CHAT IMEFANYA NINI.. HUMU JUZI KUNA MDAU ALILETA MAADA YA WANAWAKE WANA MDOMO MCHAFU YOU ARE AMONG OF THE WOMAN WITH SPOIL MOUNTH
hahah
ahahha i iwsh unijue maskin ya MUNGU sipend kumuona mwanamke mwanamke anapigwa thts all,na huo mdomo mchafu sn ht chembe ya uzaramo pole sn
Mpe kiburi halafu baada ya talaka akose mwelekeo wa maisha huanze kumcheka mbn ulishindwa kuvumiliaakwnini lakini unakubali kupigwa na ww mamy k?/yaan ajispoil na mademu na bado akupige?naja pm aic nikupe mambinu huko,masuala ya kupigwa yalikuwa kwa bibi zetu aic,tena mwambie kbs sitak unipige siku akikupihga nenda dawat la jinsia fastaaa wanaenda kumbeba