issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
Habari wadau,
Kuna msichana nimeanzisha nae uhusiano takribani sasa tunaenda mwezi wanne kama si watano.
Kiukweli huyu msichana ananivutia kwa kila alichonacho na barikiwa na Mungu ila tatizo lake ni moja tu,tukianza kunanii hataki kabisa tutumie condom na muda mwingine huwa anafikia kukataa kabisa kunanii.
Nimejaribu kumshaur kwa njia tofauti tofauti na ameishia kunipinga na hata muda mwingine huondoka kwangu kwa hasira.
Kiukweli mimi kama mimi huwa nahifadhi box za kutosha na huwa nikipata emergency huwa zinanisaidia sana kuliko kukimbia dukani.
Wadau naombeni mnishauri nifanyeje maana ndiyo nimenanii nae zaid ya mara 30 kwa condom, lakini nahisi mapenzi yanaanza kwenda kuchuja.
Karibu tafadhali
Kuna msichana nimeanzisha nae uhusiano takribani sasa tunaenda mwezi wanne kama si watano.
Kiukweli huyu msichana ananivutia kwa kila alichonacho na barikiwa na Mungu ila tatizo lake ni moja tu,tukianza kunanii hataki kabisa tutumie condom na muda mwingine huwa anafikia kukataa kabisa kunanii.
Nimejaribu kumshaur kwa njia tofauti tofauti na ameishia kunipinga na hata muda mwingine huondoka kwangu kwa hasira.
Kiukweli mimi kama mimi huwa nahifadhi box za kutosha na huwa nikipata emergency huwa zinanisaidia sana kuliko kukimbia dukani.
Wadau naombeni mnishauri nifanyeje maana ndiyo nimenanii nae zaid ya mara 30 kwa condom, lakini nahisi mapenzi yanaanza kwenda kuchuja.
Karibu tafadhali