Kiongozi wao, huyo kamishna wa sensa, naona sasa ameamua kutumia nguvu na ubabe, hawana tena uwezo wa kutumia busara na hekima, kushawishi watu, kwa matatizo yaliyoasisiwa na brother.
Kama hata hili, la wazi kabisa, wanashindwa na kuamua kutumia nguvu, mengine wataweza?