Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
Kwa wale mnaofatilia vyombo vya habari na jinsi hali halisi ilivyo kwa zoezi la sensa linaloendelea ni kwamba halitafanikiwa kwa 100%.
Changamoto ambazo serikali imeshindwa kukabiliana nazo ni pamoja na.
1.swala la uislamu ambalo kwa takwimu mpaka sasa zaidi ya kaya 2000 kwa jiji la Dar es salaam zimegoma kuhesabiwa..je, kwa mikoa mingine itakuwaje
2. Serikali kushindwa kuwalipa wenyeviti wa mitaa. Sababu hii ndiyo tishio kubwa hata ukiachana na swala la uislamu kwani viongozi hawa wa mitaa ndiyo wanajua kaya walizonazo hivyo kutowashilikisha hasa kwa kuwapa chochote zoezi hili hata uongezwe mwezi mbele halitofanikisha lolote.
3. Hali mbaya ya uchumi wa mtanzania ni mbaya hivyo waliokata tamaa na maisha hawaoni umuhimu wa kuhesabiwa.
Changamoto ambazo serikali imeshindwa kukabiliana nazo ni pamoja na.
1.swala la uislamu ambalo kwa takwimu mpaka sasa zaidi ya kaya 2000 kwa jiji la Dar es salaam zimegoma kuhesabiwa..je, kwa mikoa mingine itakuwaje
2. Serikali kushindwa kuwalipa wenyeviti wa mitaa. Sababu hii ndiyo tishio kubwa hata ukiachana na swala la uislamu kwani viongozi hawa wa mitaa ndiyo wanajua kaya walizonazo hivyo kutowashilikisha hasa kwa kuwapa chochote zoezi hili hata uongezwe mwezi mbele halitofanikisha lolote.
3. Hali mbaya ya uchumi wa mtanzania ni mbaya hivyo waliokata tamaa na maisha hawaoni umuhimu wa kuhesabiwa.