Hata usipooa au kuolewa hutakufa………!

I thought I am out of place as Tanzanian woman approachng 30yrs leaving alone without even a house girl, family hawanielewi ila coz of their unconditional love they have accepted it kwa shingo upande, sina mpango wa kuzaa kabisa unless Mr right showing up at my doorstep. I am not terrified by age kabisa, I feel so well with my life, I work 10 hrs a day, go to gym n coming home to a glass of wine and 30 munites TV time. Sometimes my swt young ananiambia unaishi maisha ya kitamthilia zaidi kuliko uhalisia as standards nilizoweka for a man hazifikiki! Naamini katika to get on what I want n love as me so if hazitafikiwa well n good will keep leaving as I am. I have many friends whom we hang out weekends n hplidays, I have one special visitor whom we meet once in while for sex that is it. Nikiwaambia watu am about to reach 30 wanakataa kabisa! wengi wanadhani ni wanafunzi wa chuo n gym nalipa subscription ya mwanafunzi coz wamejichanganya. Sikumbuki last time kukasirika n kuna watu wanaiambia hivi kuna siku unachukia M? I just laugh.

It didnt come overnight I had abusive relationship the day I gat guts to walk out I have never had any serious relationship ila I av a single man ambaye tunaelewana kuwa we are for fun n enjoying life once that stops n relationship inaishia hapo, friends wonder why we are nt getting married the answer is simple he is my company n simuoni ni mume to my standards. I have planned my life as myself n I know what I will do till old days though I have nt closed doors for ' a compliment' in my life.
Darling Morio,you are a rare breed!
 
mwanzoni yalikuwa ni maamuzi magumu,lakini nikakumbuka maneno ya mwanafalsafa Socrates aliyeulizwa na mwanafunzi wake...'mwalimu,kipi bora kuoa ama kutokuoa?...akajibu...'either way you will suffer'....its a choice kati ya kustahimili machungu ya ndoa au machungu ya kuwa single father,i chose the latter na sijutii hata kidogo,i am at peace with myself na wanangu wananielewa na kuni support.

living single again after being in relation is better than having smone who'l frustrate u! Watu wanaweza kufikiria vibaya ila its better to live ur lyf!
 
I thought I am out of place as Tanzanian woman approachng 30yrs leaving alone without even a house girl, family hawanielewi ila coz of their unconditional love they have accepted it kwa shingo upande, sina mpango wa kuzaa kabisa unless Mr right showing up at my doorstep. I am not terrified by age kabisa, I feel so well with my life, I work 10 hrs a day, go to gym n coming home to a glass of wine and 30 munites TV time. Sometimes my swt young ananiambia unaishi maisha ya kitamthilia zaidi kuliko uhalisia as standards nilizoweka for a man hazifikiki! Naamini katika to get on what I want n love as me so if hazitafikiwa well n good will keep leaving as I am. I have many friends whom we hang out weekends n hplidays, I have one special visitor whom we meet once in while for sex that is it. Nikiwaambia watu am about to reach 30 wanakataa kabisa! wengi wanadhani ni wanafunzi wa chuo n gym nalipa subscription ya mwanafunzi coz wamejichanganya. Sikumbuki last time kukasirika n kuna watu wanaiambia hivi kuna siku unachukia M? I just laugh.

It didnt come overnight I had abusive relationship the day I gat guts to walk out I have never had any serious relationship ila I av a single man ambaye tunaelewana kuwa we are for fun n enjoying life once that stops n relationship inaishia hapo, friends wonder why we are nt getting married the answer is simple he is my company n simuoni ni mume to my standards. I have planned my life as myself n I know what I will do till old days though I have nt closed doors for ' a compliment' in my life.

I admired u girl!
 
Kama umeoa/olewa halafu mkeo/mumeo akafa, baada ya wiki ndio ukapata hiyo ajali au ukaparalyse je utafanyaje? Acha fikra mgando wewe

hayo yatakuwa ni mapenzi ya Mungu tena
 
living single again after being in relation is better than having smone who'l frustrate u! Watu wanaweza kufikiria vibaya ila its better to live ur lyf!
you only live once ndugu yangu,ya nini uteseke kisa eti walimwengu watakuonaje?kha,i live my life the way i see fit na sio wanavyotaka walimwengu niishe.
 
upweke mbaya. Labda kama upweke huu una maagano maalum kama wa mapadre. Vinginevyo upweke mbaya sana
 
upweke mbaya. Labda kama upweke huu una maagano maalum kama wa mapadre. Vinginevyo upweke mbaya sana
kujiona mpweke au sio mpweke mi naona ni attitude of mind.Mathalan unaishi na mwenza lakini mawasiliano zero(which is often) hiyo nayo ni form ya upweke.Mi naona amani ni muhimu kuliko kuogopa upweke,i would rather be mpweke in peace kuliko kuzungukwa na mtu/watu wanaonikera.
 
Back
Top Bottom