Kuna wa2 wanakera katika jukwaa hili kuna wengine wanao kejel post za watu wengine hata kama m2 kapost kwa lengo la kutaka msaada au ushaur na kuna wengine haipit cku hawaja post kitu hata kama cha kijinga akiamua 2 anapost hata kama hakina mbele wala nyuma na kuna wa2 waho kaz yao ni kutunga story na kubk kuangalia wa2 wanasemaje imefika mahal inaker kama kuna m2 inamker kama mm tufanyaje il w2 hawa wawe wanapost v2 vya msing pamoja na kuheshm post za watu wengine