Mna mawazo mabaya tu, huyo aliepo kitandani ni mtu na mkewe wako chumbani kwao, huyo anaekuja na mkoba ni fundi wa kunoa visu, ana tabia mbaya tu, kapiga hodi alipoona haitikiwi kachoma ndani, akikuta hiyo hali atarudi nyuma nduki kwa tahayuri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.