Hata mwalimu nyerere hakuweza haya wakati wa uanzishwaji wa vijiji vya ujamm

ugasa

Senior Member
Oct 21, 2013
193
52
wakati wa uanzishwaji wa vijiji vya ujamaa, watu wengi walinyanyaswa na kuhamishwa bila ya ridhaa yao. uvunjwaji mkubwa wa haki za binaadamu ulifanyika.
Lakini hakuna aliewajibishwa, sio waziri wa mambo ya ndani au waziri wa vijiji
 
Back
Top Bottom