Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
Mnaojua Kiswahili msaada plz!!!!
Mnaojua Kiswahili msaada plz!!!!View attachment 877646
Haleluyah..........hapa ndio nyumbani kwetu Tanzania.Hutaki nenda katafute pa kuishi.
mbona mimi nimeelewaMnaojua Kiswahili msaada plz!!!!View attachment 877646
Elezea tuelewembona mimi nimeelewa
ni ngumu kidogo kuelewa kama haukuwa eneo la tukio au kumsikiliza jamaa akielezea kwa njia ya videoElezea tuelewe
Na kuwasiliana nae kwa kuandika karatasini ngumu kidogo kuelewa kama haukuwa eneno la tukio au kumsikiliza jamaa akielezea kwa njia ya video
Ipo hivi huyo mhandisi wa kivuko alijifungia ndani ya hicho kivuko upande wa karibu na injini ambapo kiuhalisia maji hayakuingia, sasa ile siku ya pili ya uokoaji ndio wakasikia sauti mtu anagonga, lakin kulikuwa na upenyo mdogo ambao hakuweza kupita, kwahiyo wakatumia huo upenyo kuwasiliana nae na pia kumpa chai maana alikuwa na njaa ya siku mbili huku wakifanya jitihada za kuvunja na kwenda kumuokoa.
Hahaaaa fala kwel
Sasa angeandika kama hivi ulivyoandika wewe angeeleweka tu....unadhan ulichoandika wewe ndicho alichoandika jamaa haponi ngumu kidogo kuelewa kama haukuwa eneno la tukio au kumsikiliza jamaa akielezea kwa njia ya video
Ipo hivi huyo mhandisi wa kivuko alijifungia ndani ya hicho kivuko upande wa karibu na injini ambapo kiuhalisia maji hayakuingia, sasa ile siku ya pili ya uokoaji ndio wakasikia sauti mtu anagonga, lakin kulikuwa na upenyo mdogo ambao hakuweza kupita, kwahiyo wakatumia huo upenyo kuwasiliana nae na pia kumpa chai maana alikuwa na njaa ya siku mbili huku wakifanya jitihada za kuvunja na kwenda kumuokoa.
Hahaha
😂😂😂Na kuwasiliana nae kwa kuandika karatasi
😂😂😂😂😂
Hata mimimbona mimi nimeelewa
Kwa namna hiyohiyo walivopitisha kikombe cha chai ndivyo walivyopitisha kalamu na karatasi... umeelewa sasa?Na kuwasiliana nae kwa kuandika karatasi
koh..! koh.! koh! nahisi hata kiswahili kilikuja na mashuaMnaojua Kiswahili msaada plz!!!!View attachment 877646
MmmmhKwa namna hiyohiyo walivopitisha kikombe cha chai ndivyo walivyopitisha kalamu na karatasi... umeelewa sasa?
Waandishi wetu wachovu sana, sijui alikuwa anawahi wapi?Sasa angeandika kama hivi ulivyoandika wewe angeeleweka tu....unadhan ulichoandika wewe ndicho alichoandika jamaa hapo