Hizi purukushani za Bi Mikopo zimeanza kuwafumbua macho raia wengi. Hadi 2025 watu watakuwa wanatembelea praiveti jeti ama chopa. Anyways, kila ^mbuzi^ ale kulingana na urefu wa kamba yake. Ukiona kamba yako ni fupi, basi kasokote uongezee.
Naambiwa huku kwamba hiyo ni ofisi ya mlinzi litakapokuwa geti kubwa; nyumba main yenyewe msingi ndio huo hapo pembeni. Huu ubunifu Marekani yote anauweza Elon Musk mwenyewe.