Hata Makonda unakaribishwa

Heavy equipment

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
1,446
977
Habari:

Bado tunaendelea kufuatilia matukio yanayoendelea ya sakata la madawa ya Kulevya.

Kila mtu anaongea kivyake

Mara oooh makonda yupo sahihi kuwataja watu na kutakiwa polisi!!!!

Mara oooh makonda hakuwa sahihi kuwataja watu!!!!!!!

La msingi ni kwamba mtumishi wa BWANA GWAJIMA ametoka polisi toka alipotakiwa kuripoti.

MAKONDA anasema anaongozwa na mungu katika vita hii ya kupambana na madawa ya kulevya.

Namshauri MAKONDA kesho jumapili aje kanisa la UFUFUO WA UZIMA tuombe pamoja kwa kuwa Vita hii inataka maombi mazito na MCHUNGAJI GWAJIMA ndiye anatuongoza kwa maombi hayo.
 
Nani bado anakumbuka kuwa Dsm kwa Mara ya kwanza Tangu Dunia kuumbwa haijaingia Top ten kwny Matokeo ya kidato cha nne kitaifa 2016?
Na nani anabweka kuwa tz inakabiliwa na njaa?
Nani anapiga yowe kuwa project zinazo endelea iwe cherto au kwingineko kuwa hazikufuata sheria sijui za nini nini kule?
Kwani kuna anaye kumbuka kuwa mwezi huu ile asilimia 15 ya bodi inaanza kufanya kazi?
Ben saanane je?

Ni mengi
 
Na nani anabweka kuwa tz inakabiliwa na njaa?
Nani anapiga yowe kuwa project zinazo endelea iwe cherto au kwingineko kuwa hazikufuata sheria sijui za nini nini kule?
Kwani kuna anaye kumbuka kuwa mwezi huu ile asilimia 15 ya bodi inaanza kufanya kazi?
Ben saanane je?

Ni mengi

Siku hizi Press conference zote zinaongelea Madawa ya kulevya na Makonda!

Shkamoo Thithtem!
 
Back
Top Bottom