Ipitie tena post yako na ujiulize je! wewe sio mmoja wao?
Fahamu kua hiyo ndio jamii yako ndugu na kama wewe umeelimika sio kigezo cha kuwachukulia kihivyo, tena yawezekana ni kwajuhudi zao ndizo zilizokufikisha hapo ulipo............so u have to behave mkuu..
Kwa imani yangu naamini unao wazungumzia ni watuwako wa karibu au hata inaweza kua ni ndugu zako wa damu.