Unajua binadamu tunatofautiana katika mambo mengi sana. Unaweza kumkumbuka mtu kwasababu tu,
1 Usafi kuliko uliyenaye
,2. Ujuzi wa mapenzi/mahaba na mapishi
3.Uwezo wakujali. /Upendo
4. Akili ya maisha
5. Uvumilivu .
Harafu unakompare na huyo uliyenaye ndo hapo unaweza kumkumbuka x wako , Mara nyingi utamkumbuka x, kama huyo uliye naye hana sifa ya yule aliye kukosha kama anazo na anamzidi huwezi kumbuka